Nina mashaka na uwezo wa Godless Lema

Nina mashaka na uwezo wa Godless Lema

Unajua, ukiambiwa uangalie kaTI ya Lema na Jk nani hamnazo kichwani, hata mtoto mdogo anajua. Kila siku kauli mbiu mara maisha bora kwa kila mtanzania, mara ari mpya nguvu mpya na kasi mpya, hivi anajitambua huyu mtu? hivi kati ya Lema na Jk nani kitunguu hapa. Acheni ushabiki wakimandazi, Jk hana analolijua Lema si level ya Jk, Jk level yake ni wale nawanaomshabikia. shame on you.

eti amechangia dah ni shiiiidaaaah
 
Back
Top Bottom