assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
- Thread starter
- #101
wabunge wenye iq ndogo katiba iweke waz namna ya kuwatoa ni shiiiiiiiiiiiiiiidaaaaaaaaaahhhhhhhh
wabunge wenye iq ndogo katiba iweke waz namna ya kuwatoa ni shiiiiiiiiiiiiiiidaaaaaaaaaahhhhhhhh
acha matusi
Bora Usingizi kuliko kufungiwa Kwenye kibuyu alafu unalipwa ujira wa Buku 7mkuu umetoka usingizini nn
Hivi wewe Maisha Bora yako unayapatia Lumumba?
Chukua Hatua Basi
Bora Usingizi kuliko kufungiwa Kwenye kibuyu alafu unalipwa ujira wa Buku 7
Hatua ni kuwa na daftari la kudumu then hasira zote tutamalizia kwenye kura
Umenena Kamanda
Chukua Hatua Basi
Nimejaribu kuwa kimya lakini naona kuna haja ya kusema.
1. MH LEMA amekuwa mtu wa kulaumu na kulalamika kila wakati. kumlaumu rais kwa hoja dhaifu namna hii ni upofu. je mh lema mapungufu makubwa yaliopo chadema ya kiuongozi huyaoni. mbona km mpambanaji wa kweli hatukusikii ukikemea je huo uzalendo uko wapi?
2. Kiufupi kasome uchumi utaelewa namna inflation inavotokea na sikila kitu unakimbilia kwa mh raisi
3. Kasome sheria ya mabadiliko ya katiba, rais kisheria hana uwezo huo.
4. Je jimbo la Arusha mjini mbona hujakamilisha ahadi zako mbono hilo hulizungumzii?
Tubadilike watz kulalamika tu suluhisho.
arusha mjin 2015 wajifunze
chadema wangekuwa na busara wangemzuia lema kuropoka kwani anakiabisha chama kwa busara yake ndogo
******¶¶
mleta hoja hana hoja ya msingi, alichofanikiwa ni kupanga watu wanaolipwa buku saba kila siku, ili wachangie kwa wingi na kuonekana kuwa kuna habari ya kuchangia wakati ni UPUUZI MTUPU. Hoja za kushambuliana hazimjengi mtu yeyote hapa JF zaidi ya kupotezeana muda tu.