Msukule wa mboyeeeeeeeeeeee........
Kwa hiyo watu wa Arusha ni chekechea chezea makorokocho au siyo?ndio hivyo sasa kwa Arusha sis iwana Arusha ndio tunajua faida ya Lema kw amaneno yako pelleka Chalinze
Nimejaribu kuwa kimya lakini naona kuna haja ya kusema.
1. MH LEMA amekuwa mtu wa kulaumu na kulalamika kila wakati. kumlaumu rais kwa hoja dhaifu namna hii ni upofu. je mh lema mapungufu makubwa yaliopo chadema ya kiuongozi huyaoni. mbona km mpambanaji wa kweli hatukusikii ukikemea je huo uzalendo uko wapi?
2. Kiufupi kasome uchumi utaelewa namna inflation inavotokea na sikila kitu unakimbilia kwa mh raisi
3. Kasome sheria ya mabadiliko ya katiba, rais kisheria hana uwezo huo.
4. Je jimbo la Arusha mjini mbona hujakamilisha ahadi zako mbono hilo hulizungumzii?
Tubadilike watz kulalamika tu suluhisho.
chadema kupoteza jimbo la arusha mjini
Mie napita tu!
Pita nguruwe sina mkuki mie..!!
Pita nguruwe sina mkuki mie..!!
kunawatu jf, huwa ukiongfa lolote kuhusu cdm wew ni ccm, mi vichwa yao mgando kweli na silaa zao kubwa matusi.wengine tunachangia kiutaalamu kwa mada tunazozijua, lakin wao sasa kilakitu yanabisha
Nadhani mtoa mada anafikiri kwa kutumia visigino. Haufai kwa jamii mpotoshaji mkubwa wewe
Kazi mnayofanya vijana mlioajiriwa kuitetea CCM humu ndani ni rahisi lakini ni ngumu katika dhamira zenu. Siku moja mtajikuta mmekuwa wehu kwa kulazimisha akili zenu zikatae ukweli kutetea uongo. a.k.a buku 7.
Eti hizi zote ni mbinu za kujikwamua. Chama hiki kinakufa haki ya nani. Lol!