Nina mashaka na uwezo wa CHADEMA kuongoza SERIKALI 2015

Kaka cjaona hoja hapa! Subir 2takapochukua nchi ndio utaona kama kuna watendaji au hakuna na ucpende kuishi kwa hisia
 
Mkuu ni hivi, tuanze na kwenye uwaziri, ni wazi kwamba Chadema has limited options, wapo wachapakazi hawa tunaowajua kila leo,lakini kimsingi hawatoshi, angalia mfano tu wa baraza kivuli kule bungeni, kama ingekua ni kuformulate a full government nakosa watu wa kuwaongezea watoshe nyadhifa zote za kisiasa serikalini..... Pia ni mabadiliko makubwa yanayotakiwa hata kwenye idara zisizo za kisiasa serikalini, so unataka kunambia bila kujua a potential number of candidates watu ambao KIMSINGI wanaweza kuwa wanachama wa Chadema, kwani ni maamuzi yao, na wakaenda kutekeleza kazi za kiserikali bila tatizo.

hujafafanua ni idara zipi ambazo unataka wakuu wake wawe wanachama wa chadema? mashirika, makampuni, taasisi za umma au?
 

Umenena vyema mkuu, ukiwa na Rais makini, Makamu wake makini, Waziri mkuu makini, Mawaziri makini na wachapakazi, kinachofuata ni kuweka utawala bora katika mikoa, wilaya na hata vijiji.

Wanaosikika Chadema ni wachache lakini ndani ya Chadema kuna hazina kubwa sana ya viongozi bora, pia kuna wanachama na nje ya chama lakini kuna watu wenye mapenzi mema na nchi hii.

Mfumo uliopo ndio unaoharibu nchi kukumbatia kwamba kila kiongozi lazima atoke ccm, hata kama kuna kiongozi mzuri kwa nafasi ya uwaziri laki hatoki ccm basi hapewi, who knows bwana kama Chadema ikikamata nchi inawezekana akina magufuli wakarudishwa kwenye uwaziri na wakajirekebisha walipo jikwaa na kuwatumikia watanzania, so hofu ondoa ndugu.
 
Ninawasiwasi hata kama umesoma sio tu kuelewa nilichokiandika, waliosoma wameelewa, muulize Mukandara. Na usikurupuke siishi kwa hisia, ila I am a realist, naexplore all the options, I think divegently.....tofauti yetu nadhani unategemea kudra za mwenezi Mungu!

Kaka cjaona hoja hapa! Subir 2takapochukua nchi ndio utaona kama kuna watendaji au hakuna na ucpende kuishi kwa hisia
 
Hii thread Kivuli na ina mawazo kivuli, ngoja wananchi vivuli wachangie mawazo vivuli.
 
Kwanza Serikali inaundwa na wanasiasa (mawaziri) na wataalamu (professionals) kV makatibu wakuu (watendaji wakuu wa wizara), wanasheria/mahakimu/judges n.k. Kumbuka hwa hawatakiwi kijiuhusisha na siasa na akitaka kufanya hivyo inabidi ajihuzuru.

Pili watendaji wengi serikalini ni bendera fuata upepo utendaji wao unategemea aliye juu ya yao. Kukosekana kwa uwajibikaji kunatokana na mfumo uliopo ambao chanzo chake ni katiba ya sasa inayompa madarka makubwa rais kuteuwa karibu watendaji wakuu wote wa serikali; hivyo rais na chama chake wakiwa wepesi serikali nzima inakuwa nyepesi na kinyume chake ni sahihi.

Suluhisho ni:
1. Katiba mpya yenye kuzingatia hayo yote
2. Rais makini kama Dr. W.Slaa mwenye kutenda kama asemavyo (Walk the talk)
3. Chama makini chenye uwezo wa kumkemea rais na serikali aliyoiunda.

Kwa ujumla wake watendaji wengi ni hawa hawa watanzania waliokosa viongozi ila wana watawala.
 
Nakubaliana na wewe, lakini je hiyo inamaanisha Chadema mtachagua watu waliopo sasa katika nyadhifa au, hao watu Chadema itakao chagua watatoka wapi? ni akina nani? nataka tufikirie hivyo!

Sikatai Chadema ina hadhina kubwa, hazina ipi hiyo? hebu kuwa straight to the point! çause najua Chadema bado haijaexploit hazina kubwa sana. Hao wanaosikika wenyewe hawatoshi, hebu angalia serikalini kuna Nyadhifa ngapi halafu, hao unaowaita wanasikika wapange wote utaona kama wanajaa hawajaii?

 
Nadhani kosa lako ni kuangalia mfumo wa uongozi wa CCM na kutaka CHADEMA nayo iufuate huo huo. Mfumo wa CCM una ukiritimba mkubwa sana ambao pamoja na mambo mengine umejengwa kwenye msingi wa uswahiba. Hivyo rais anafungua nafasi nyingi za uongozi ili azigawe kwa maswahiba wake.

Kimsingi wa utawala wa kidemokrasi, Makatibu wakuu, wakurugenzi, makamishna, wakuu wa maidara, na mahakimu ni watu ambao hawatakawi kuwa wanachama wa chama chochote bali ni watendaji wanaaoteuliwa kutokana na uwezo wao wala siyo kwa ushabiki wao. Kwa hiyo CHADEMA ina haki ya kumweka mtu yeyote mwenye uwezo bila kuangalia itikadi yake, na kama akiingiza siasa katika kazi basi anafukuzwa.

Kuhusu mawaziri, wanatakiwa wasiwe wabunge, bali wateuliwe kulingana na uwezo wao. Na hata kama ni lazima wawe wabunge, bado hilo halihindikani kama CDAM ikiing'a CCM madarakani basi itakuwa na wabunge wengi hasa ukizingatia kuwa CDM isingependa kuunda serikali kubwa ya CCM.

Swala la wakuu wa miko na wa wilaya kuteuliwa na rais ni kubinya demokrasi huko mikoani. Nafahamu kuwa mojawapoa ya melengo ya CDM ni kubadili vyeo hivi ili wakuu wa mikoa (au majimbo) wawe wanachaguliwa na wanachi huko huko mikoani.
 
Najua unajua kwamba serikali ni kitu kimoja, na ingawa haitakiwi kuteua wanachama kuwa viongozi, lakini lazima uteue watu with the like mindset, wanaojua Tanzania inahitaji nini, yawezekana si wanachama lakini wanaamini katika kile wanachoamini Chadema, katika kulinda maadili ya kazi na uwajibikaji, hawa watu unawatoa wapi Tanzania (ukiondoa wale wateule wa serikali ya CCM ambao siamini kama watatupeleka popote) kama si kuwarecruit in some sense! au tayari kuna program hii, tujuzeni watu wa ndani ya Chadema!

 

Licha ya kutokuwa na watu wa kuongoza , CHADEMA a.k.a. MAGWANDA watakuwa wanaiona nchi hii kama uchi wa mtoto. Kwani mtoto akiwa uchi utakuwa wamtizama tu na huna la kufanya
 

Licha ya kutokuwa na watu wa kuongoza , CHADEMA a.k.a. MAGWANDA watakuwa wanaiona nchi hii kama uchi wa mtoto. Kwani mtoto akiwa uchi utakuwa wamtizama tu na huna la kufanya
Whaaat?...hivi ndivyo unavyofikiria eeeh!
 

Inaelekea bado hujafahamu nini maana ya serikali, kuna watu wamekueleza hapa, Chadema haitakuja kufumua uongozi wote katika nchi, yaani fukuza, RC wote, DCs wote, Makatibu, wakurugenzi, wakuu wa mashirika na taasisi mbali mbali, la hasha.

Ukiona wamechukua nchi Rais ametoka chadema wao wanaanza kusimamia sera zao, wanaunda baraza la mawaziri, wanateua wakuu wa ulinzi na usalama wapya na watakao tii mamlaka iliyopo, then watangalia RC na DCs (tena hapa kuna watu wengine hata hatatakiwa kuwepo, why DC wakati una Mkurugenzi and why RC wakati kuna RAC) wanachapa kazi wataendelea wazembe tupilia mbali kwa hiyo ndugu hata wewe pia ni kiongozi lakini pengine hujapewa nafasi na mfumo uliopo kwa kuwa wewe sio miongoni mwao, hupendi sera zao.

cha Muhimu kama kweli wewe unapenda mabadiliko kuanzia moyoni kwako saidia Chadema kushika Dolla na utashuhudia makubwa.
 
NDG SIO WOOTE WALIo CHAMA CHA MAGAMBA WANA MAGAMBA HIVYO KUNA WATENDAJI WENGI TU WAZURI LAKINI WAMEKOSA DIRA NDO MAANA MHESHIMIWA DR.(PHd) alisema kama unakumbuka angeshinda(alishinda ila mzee wa kaya alichakachua tunalijua hilo hata makame shahidi)angeandaa kitu kama semina ya kurudisha uadirifu kazini
 
2. Rais makini kama Dr. W.Slaa mwenye kutenda kama asemavyo (Walk the talk)
.

Dr.Slaa kutembea kwenye yale ayasemayo??a u serious?

....kitendo cha Dr.Slaa kuupinga mshahara wa Wabunge na baadae kuomba kulipwa mshahara unaoendana na wa Mbunge kimemuondolea sifa ya kutembea kwenye maneno yake, amebaki tu kuwa kama opportunists wengine wanaoongea pasi kutembea kwenye gharama za maneno yao....
 
Mkuu hoja yako imejikita kwenye idadi ya waliopo bungeni tu na viongozi wa Chama. You are missing the point. Naungana na aliyekupa mfano wa Nyerere wakati wa uhuru, Kagame, Museveni na wengine wengi. System haiendeshwi kwa njia hiyo tu unayofikiri wewe. Hao wachache ni usukani tu. Lakini utashangaa wako wengi sana ambao baada ya ushindi huo wa CDM, watateuliwa na hata kupatikana na kuweza kuendesha nchi. Nchi hii ni kubwa mno, lakini zipo pia system za nchi eg intelligence etc,kuhakikisha nchi inaendelea, provided ni chama gani kitashika nchi. Angalia nchi zingine ambazo zimekuwa zikifanya uchaguzi wa kidemokrasia na ikawepo smooth transition of power, mfano Ghana n.k. Widen your scope of thinking!
 
Hilo halina ubishi ndio maana yeye hivi sasa ni rais kivuli

Yaani akili za watu wa MAGWANDA ni chache mno kiasi cha kwamba unashangaa hivi kama chenyewe kina watu wa namna hii basi wote wanahitajika kufika hospitali kupimwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…