CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Ndugu Revolutionery,
Usipate taabu...wapo watanzania wengi tu wakuendesha nchi hii...wakiwemo ambao bado wako katika serikali hii....hii ni hofu ya wengi kuwa kubadili serikali maana yake mpaka Polisi wote wafukuzwe...la khasha...hata Mandela alipochukua nchi ni polisi walewale waliokuwa wakiwasumbua ndio wako hata leo...watakaoenda na maji ni hawa unaowasikia wakipiga mayowe....RC,DC,Mawaziri(baadhi watabaki)
Usipate taabu...wapo watanzania wengi tu wakuendesha nchi hii...wakiwemo ambao bado wako katika serikali hii....hii ni hofu ya wengi kuwa kubadili serikali maana yake mpaka Polisi wote wafukuzwe...la khasha...hata Mandela alipochukua nchi ni polisi walewale waliokuwa wakiwasumbua ndio wako hata leo...watakaoenda na maji ni hawa unaowasikia wakipiga mayowe....RC,DC,Mawaziri(baadhi watabaki)