Nina gundu sio bure

Sep 14, 2016
85
38
Habari za asubuhi wana MMU... jukwaa pendwa kabisa naimani wote ni wazima kabisa

napenda niende kwenye mada moja kwa moja

Tangu mwaka uanze nimetongoza mara 4 lakini zote nimeishia kupigwa za uso sasa najiuliza ivi ni gundu gani hasa nililo nalo au kuna sehemu naenda ndivyo sivyo

Wengi wao wanadai wako katika mahusiano na mimi mwanamke akisha niambia yupo kwenye mahusiano huwa nakata tamaa
Wakuu hebu nipeni njia mbadala zitoweza kuniwezesha kuwapata hawa viumbe kwa sababu upweke umenichosha ndugu zangu
Cc stunter
 
Hiyo hali mara nyingi huwa inatokea kwa watu wengi tu.Kinachotakiwa kufanya hapo, wewe nenda katongoze demu yeyote unayeona itakuwa rahisi akukubali , usichague demu.ikiwezekana hata kununu ukishagonga kama mara tatu hivi kungundu litaondoka. Baada ya hapo nenda katongoze demu unaye mpenda.huongei sana lazima akubali.Unajuwa kama ni mtu wa kugonga sana mademu.Mtu huwa anakuwaga na kismati (mvuto ) kwa akina dada.Hauongei sana.jambo jingine usikate tamaa demu anapokuambia kuwa kupo kwenye mahusiano hiyo ni gereshs tu,anskupima pumzi yako ya kuongea.jambo jingine. Unapo msogelea demu mara ya kwanza usimwambie kuwa unampenda.Jenga naya urafiki wa karibu kwanza ili aweze kukuamini.Baada ya majuma au mwezi unaanza sasa kumwambia hisia zako kwake.kumbuka kwamba wanawake wengi wenye kujiamini wanapenda kuingia kwenye uhusians na mwanamume anapo mwamini.
 
Una gari? If you have never been seen driving, expect disappointments... Siku ingine ukiwa unaenda kutongoza, kodisha hata texi jifanye ni gari yako... Kila mwanamke atakwambia yuko single kwa swaga hizo...
In addition to that, tafuta wallet ijaze magazeti na noti tano za mwekundu... Ukienda kwenye matumizi fungua wallet, wakiona jinsi ilivyotuna, nakwambia you will capture all the chicks you want...
 
Hiyo hali mara nyingi huwa inatokea kwa watu wengi tu.Kinachotakiwa kufanya hapo, wewe nenda katongoze demu yeyote unayeona itakuwa rahisi akukubali , usichague demu.ikiwezekana hata kununu ukishagonga kama mara tatu hivi kungundu litaondoka. Baada ya hapo nenda katongoze demu unaye mpenda.huongei sana lazima akubali.Unajuwa kama ni mtu wa kugonga sana mademu.Mtu huwa anakuwaga na kismati (mvuto ) kwa akina dada.Hauongei sana.jambo jingine usikate tamaa demu anapokuambia kuwa kupo kwenye mahusiano hiyo ni gereshs tu,anskupima pumzi yako ya kuongea.jambo jingine. Unapo msogelea demu mara ya kwanza usimwambie kuwa unampenda.Jenga naya urafiki wa karibu kwanza ili aweze kukuamini.Baada ya majuma au mwezi unaanza sasa kumwambia hisia zako kwake.kumbuka kwamba wanawake wengi wenye kujiamini wanapenda kuingia kwenye uhusians na mwanamume anapo mwamini.
Umeongea ukweli kabisa, nina uzoefu na hilo suala, kipindi hauna demu wa kugonga huwa ni ngumu sana kumpata demu unayempenda ila ukiwa nao sasa utawapanga mpaka uwakimbie au uwangonganishe then wanakuacha wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom