chemosynthesis
Member
- Sep 14, 2016
- 85
- 38
- Thread starter
- #41
Mkuu nimekupata ntayafanyia kaziUnajua kutongoza ni sanaa eeh? Kwa hiyo usanifu na ubunifu ndicho kipimo.
Lakini pia kutongoza ni sayansi...unatakiwa umsome mwanamke organs zake zinavyoplay wakati unamtongoza.
Lakini pia kutongoza ni psychological phenomena. Unatakiwa umfanye a relux, uvute akili yake yote kwqko.
Haya yote yanahitaji mwanaume anaemtongza mwanamke. Ila kwa wavulana na wasichana huparamiana tu.