Nina gundu sio bure

Ngang'ania wengine watasema wako kwenye mahusiano lakn hawamaanishi...ng'ang'ania huku ukitoa zawadi ndogo ndogo na uwe romantic
Uweza kuta yuko kwenye mahusiano kweli lkn hapati utakavompa so anaweza aka quite huko
wewe vipi upo kwenye mahusiano?au upo single kama mimi?
 
Dukani kuna Zena, Ayu, Geisha. Revola, Camay, Emperial, nk bado tu unapigwa za uso...
 
Habari za asubuhi wana MMU... jukwaa pendwa kabisa naimani wote ni wazima kabisa

napenda niende kwenye mada moja kwa moja

Tangu mwaka uanze nimetongoza mara 4 lakini zote nimeishia kupigwa za uso sasa najiuliza ivi ni gundu gani hasa nililo nalo au kuna sehemu naenda ndivyo sivyo

Wengi wao wanadai wako katika mahusiano na mimi mwanamke akisha niambia yupo kwenye mahusiano huwa nakata tamaa
Wakuu hebu nipeni njia mbadala zitoweza kuniwezesha kuwapata hawa viumbe kwa sababu upweke umenichosha ndugu zangu
Cc stunter

Hauna pesa
Wameisha gundua ww ni mwanamme suruali
Hawa wanapenda sana pesa
Ukiwa na pesa huwezi wakosa hawa
 
Tafuta demu yeyote umgonge unukie papuchi kwa mbali watakuja wenyewe
 
uko wapi nikuunganishe kwa mmoja nakupa tu namba yakeukahangaike mwenyewe na uhakika yupo single nimemwacha karibuni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom