Nina gundu sio bure

Nina gundu sio bure

Huwezi amin kila napokuona humu siachi kuizoom...nilikufuatilia taratibu nikijua wewe ni ke ila nikagundua wewe kidume.
hatari sana Sheikh mmh! " sheikh kipozeo
 
Hiyo hali mara nyingi huwa inatokea kwa watu wengi tu.Kinachotakiwa kufanya hapo, wewe nenda katongoze demu yeyote unayeona itakuwa rahisi akukubali , usichague demu.ikiwezekana hata kununu ukishagonga kama mara tatu hivi kungundu litaondoka. Baada ya hapo nenda katongoze demu unaye mpenda.huongei sana lazima akubali.Unajuwa kama ni mtu wa kugonga sana mademu.Mtu huwa anakuwaga na kismati (mvuto ) kwa akina dada.Hauongei sana.jambo jingine usikate tamaa demu anapokuambia kuwa kupo kwenye mahusiano hiyo ni gereshs tu,anskupima pumzi yako ya kuongea.jambo jingine. Unapo msogelea demu mara ya kwanza usimwambie kuwa unampenda.Jenga naya urafiki wa karibu kwanza ili aweze kukuamini.Baada ya majuma au mwezi unaanza sasa kumwambia hisia zako kwake.kumbuka kwamba wanawake wengi wenye kujiamini wanapenda kuingia kwenye uhusians na mwanamume anapo mwamini.
Mkuu nashukuru sana. ..iv naweza kuja inbox kwa maelezo zaidi
 
Huwezi amin kila napokuona humu siachi kuizoom...nilikufuatilia taratibu nikijua wewe ni ke ila nikagundua wewe kidume.
Yaani we Daby comment zako bana...huwaga unachekeshaga sana hasa ukionaga mitakoo...

Macho yako yanaona masafa marefuu kapicha kadogooo hivyo umekaonaje??, au macho yako ni werevaa plus??
 
Yaani we Daby comment zako bana...huwaga unachekeshaga sana hasa ukionaga mitakoo...

Macho yako yanaona masafa marefuu kapicha kadogooo hivyo umekaonaje??, au macho yako ni werevaa plus??
Wit acha tu mpendwa...ila utani wang unaishiaga huku bwana
 
Ngang'ania wengine watasema wako kwenye mahusiano lakn hawamaanishi...ng'ang'ania huku ukitoa zawadi ndogo ndogo na uwe romantic
Uweza kuta yuko kwenye mahusiano kweli lkn hapati utakavompa so anaweza aka quite huko
😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵😵
 
Mkuu nahitaji tips
Unajua kutongoza ni sanaa eeh? Kwa hiyo usanifu na ubunifu ndicho kipimo.

Lakini pia kutongoza ni sayansi...unatakiwa umsome mwanamke organs zake zinavyoplay wakati unamtongoza.

Lakini pia kutongoza ni psychological phenomena. Unatakiwa umfanye a relux, uvute akili yake yote kwqko.

Haya yote yanahitaji mwanaume anaemtongza mwanamke. Ila kwa wavulana na wasichana huparamiana tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom