R_Breazy
JF-Expert Member
- Aug 28, 2025
- 281
- 567
Wakuu habari za saizi
Nilitamani nianzishe huu Uzi tangu juzi ila mambo mengi, Leo nimepata wasaa kidogo nimeona nishee nanyi kidogo pengine Kuna mtu anaweza kufanya maamuzi kama yangu kujua mbivu na mbichi.
To be honest nilipoenda Kwa mzazi mwenzangu nilichepuka mara moja na kibinti kidogo nakumbuka aliniambia kazaliwa 2006 kama siyo na 7.
Haka kabinti nilikapata baada ya ugomvi na mama watoto, hivyo muda mwingi niliutumia kwenda kijiweni hadi nilipokutana nacho. Niseme tu kalijilengesha sababu kila kitu kilikuwa rahisi kuanzia kuchukua mawasiliano, na kuomba tunda. Nakumbuka nilichukua namba Alhamisi then jmosi nikaomba show kakadai Kako period, niliuliza kanamaliza lini kakasema jpili nikakapanga jtatu hakakutia ugumu.
Jtatu ilifika kila kitu kilienda vizuri. Baada ya tukio hiyo siku sikutaka kumgusa kabsa mtu wangu plus tuna ugomvi hata sikuongea nae zaidi ya chakula nikalala J'nne ya tarehe 7/4 nkaondoka.
Nilivyofika niliumwa kidg nliamini ni Hali ya hewa badae nilikaa sawa, kuanzia mwezi wa 6 katikati hadi wa saba nimeumwa sana MAWAZO yalikuwa mengi sana sabu nilipiga peku mwisho juzi nikaamua kuchukua uamuzi mgumu wa kupima. Nashukuru Mungu Kwa kunipa nafasi nyingine ya kuongeza umakini.
Mwisho, nimechagua kupima sababu Sina siku nyingi nitaenda Kwa mama watoto nilihofia nikimpelekea shida, hiyo changamoto itaathiri wanangu Kwa namna moja au nyingine hivyo ningekutwa na shida ningechagua kumuacha Kwa ajili ya wanangu, na hata kama akipata apate Kwa njia zake si Kwa makusudi yangu. Wakuu tangu nipime hiyo juzi mwili umerudisha Nuru na siumwi tena hofu ilikuwa ikinitafuna sana.
Nilitamani nianzishe huu Uzi tangu juzi ila mambo mengi, Leo nimepata wasaa kidogo nimeona nishee nanyi kidogo pengine Kuna mtu anaweza kufanya maamuzi kama yangu kujua mbivu na mbichi.
To be honest nilipoenda Kwa mzazi mwenzangu nilichepuka mara moja na kibinti kidogo nakumbuka aliniambia kazaliwa 2006 kama siyo na 7.
Haka kabinti nilikapata baada ya ugomvi na mama watoto, hivyo muda mwingi niliutumia kwenda kijiweni hadi nilipokutana nacho. Niseme tu kalijilengesha sababu kila kitu kilikuwa rahisi kuanzia kuchukua mawasiliano, na kuomba tunda. Nakumbuka nilichukua namba Alhamisi then jmosi nikaomba show kakadai Kako period, niliuliza kanamaliza lini kakasema jpili nikakapanga jtatu hakakutia ugumu.
Jtatu ilifika kila kitu kilienda vizuri. Baada ya tukio hiyo siku sikutaka kumgusa kabsa mtu wangu plus tuna ugomvi hata sikuongea nae zaidi ya chakula nikalala J'nne ya tarehe 7/4 nkaondoka.
Nilivyofika niliumwa kidg nliamini ni Hali ya hewa badae nilikaa sawa, kuanzia mwezi wa 6 katikati hadi wa saba nimeumwa sana MAWAZO yalikuwa mengi sana sabu nilipiga peku mwisho juzi nikaamua kuchukua uamuzi mgumu wa kupima. Nashukuru Mungu Kwa kunipa nafasi nyingine ya kuongeza umakini.
Mwisho, nimechagua kupima sababu Sina siku nyingi nitaenda Kwa mama watoto nilihofia nikimpelekea shida, hiyo changamoto itaathiri wanangu Kwa namna moja au nyingine hivyo ningekutwa na shida ningechagua kumuacha Kwa ajili ya wanangu, na hata kama akipata apate Kwa njia zake si Kwa makusudi yangu. Wakuu tangu nipime hiyo juzi mwili umerudisha Nuru na siumwi tena hofu ilikuwa ikinitafuna sana.
