kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Wakuu nimemaliza chuo mwaka Jana Sasa tangazo mbona Lina tuchuja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio awamu ya 5 bwana.Wakuu nimemaliza chuo mwaka Jana Sasa tangazo mbona Lina tuchuja? View attachment 1035450
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mambo ya Ajabu Sana hayaWameanza 2014 mpaka 17 then watakuja 18 to 2020
Huyu mtu vipiWenzako wamekaa nyumbani miaka 4 wewe kukaa miezi unaona kazi, unataka uajiriwe uache wa 2015, tulia usubiri wakati wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie hiviMiez tu ulalama, watu na magamba Yao wap kitaa miaka 5 tulia tena kua mpole
Choma mahindi kwanza itafika zamu yakoWakuu nimemaliza chuo mwaka Jana Sasa tangazo mbona Lina tuchuja? View attachment 1035450
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzako wamekaa nyumbani miaka 4 wewe kukaa miezi unaona kazi, unataka uajiriwe uache wa 2015, tulia usubiri wakati wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kumkatisha tamaa.Wameanza 2014 mpaka 17 then watakuja 18 to 2020