Nina double life

Nina double life

Hizi hallucinations Sasa...pale unawaza ila unaona kama ndoto!

Mihadarati inahusika hapa ! Either direct ulitimia Au indirect bila kujua ! Kama ni kisa cha kweli mkuu soon Utakuwa admitted mirembe Au rutindi.
 
Hizi hallucinations Sasa...pale unawaza ila unaona kama ndoto!

Mihadarati inahusika hapa ! Either direct ulitimia Au indirect bila kujua ! Kama ni kisa cha kweli mkuu soon Utakuwa admitted mirembe Au rutindi.
Hakuna ninachowaza. Ni kwamba naenda kulala usiku kama wewe unavyofanya unapopata usingizi, halafu ndotoni inakuwa hivyo. 8 years now, ndoto inaendelea tu.
 
Kwaio leo akilala anywe sumu afe uko kwenye ndoto yake ili kesho alete mrejesho .
Haiwezekani! Kuna siku niliwahi kuamua kwamba eti leo nikienda kulala ile ndoto ikiendelea nitapiga picha za familia na nyumba nijitumie kwenye email ya kawaida (hii ninayotumia hapa) nione kama zitafika kweli. Nilipolala kweli ndoto iliendelea lakini sikukumbuka chochote nilichopanga kabla sijalala. Nimegutuka kumekucha!
 
Haiwezekani! Kuna siku niliwahi kuamua kwamba eti leo nikienda kulala ile ndoto ikiendelea nitapiga picha za familia na nyumba nijitumie kwenye email ya kawaida (hii ninayotumia hapa) nione kama zitafika kweli. Nilipolala kweli ndoto iliendelea lakini sikukumbuka chochote nilichopanga kabla sijalala. Nimegutuka kumekucha!
Vipi rais wa uko ni jiwe nakama ni jiwe vipi mnapata taabu sana??
 
Nakuona kama unachezea fursa. Tafuta ideas huko kwenye maisha ya upande wa pili,zilete kwenye maisha yako halisi. Usihangaike kuondoka huko na vitu ambavyo ni tangible utachemka.
 
Vipi rais wa uko ni jiwe nakama ni jiwe vipi mnapata taabu sana??
Cha kunishangaza mijadala ya siasa inayoongelewa kule ni ya Marekani na Middle East zaidi. Sijawahi kutambua uongozi ni kina nani, sijui hizo taarifa huwa zinanipitaje! Hata leo nikipanga kuwa nataka nitakapokuwa ndotoni nisome magazeti, nikifika nasahau!
 
Nakuona kama unachezea fursa. Tafuta ideas huko kwenye maisha ya upande wa pili,zilete kwenye maisha yako halisi. Usihangaike kuondoka huko na vitu ambavyo ni tangible utachemka.
Sijawahi kufanikiwa kupanga kitu huku nikakitekeleza kule. Nikifika ni mtu mwingine kabisa na sikumbuki chochote nilichopanga, nakuja kukikumbuka nikishazinduka!
 
Mbona mambo ya kusimulia na maisha unayoyaishi unayakumbuka? Hebu kuwa serious japo kidogo.
 
Mbona mambo ya kusimulia na maisha unayoyaishi unayakumbuka? Hebu kuwa serious japo kidogo.
Nakumbuka vitu nikiwa macho, napanga vitu hapa, nikiwa ndotoni ni akili nyingine sivikumbuki, lakini nikizinduka navikumbuka tena.
 
Hakuna ninachowaza. Ni kwamba naenda kulala usiku kama wewe unavyofanya unapopata usingizi, halafu ndotoni inakuwa hivyo. 8 years now, ndoto inaendelea tu.
Unafanya hallucinations ukiwa ndotoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom