Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,842
- 3,616
- Thread starter
- #41
Mh sidhani! Mbona nasikia misukule huwa wanarudi wamechoka vibaya!Utakua ushachukuliwa msukule.
Kuna siku moja huko katika ofisi yangu ya ndotoni AC ilipata shoti ikalipuka tukakimbia vibaya sana nikajigonga kwenye mlango wa kioo nikatoka nundu kwenye paji la uso, lakini nilipokuja kuamka nikajikuta niko fresh, sijachoka hata kidogo, sina maumivu yoyote wala nundu sikuwa nayo!