shaver
JF-Expert Member
- Sep 21, 2021
- 240
- 473
Mkuu Ralph Tyler ukipata muda ebu njoo kwenye uzi wako. Theory zinazidi kuongezeka.
Sina kazi za kukesha. Lakini siku moja nilisinzia kwenye basi nikiwa naenda Mbeya. Nikaota kuwa nimeenda swimming nikiwa na mke na mtoto, halafu mtoto akazama. Niliporukia kwenye pool kumwokoa nikavuta maji yakanipalia nikakohoa sana nikazinduka nikajikuta kweli nimepaliwa na mate na ninakohoa.Ishawahi kutokea huku,ukakesha.
Then usiku ulifuqta wakati umelala,umeamkia kule,what happened?
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Ndiyo. Ni ofisi kubwa ina show room kubwa sana yenye pikipiki za aina mbalimbali zaidi ya 2,000 for display only. Kuna vitengo vingi vya sales, marketing, accounts, workshop ina mafundi wa aina mbalimbali, pia kuna godown kubwa lenye parts mbalimbali za pikipiki ambazo wanaoagiza kutoka nje ya nchi wanafungashiwa kwenye mabox wanatumiwa na kwenda kufanyia assemblying kwao. Kuna yard kubwa ina makontena mengi yaliyojaa parts za pikipiki ndani ya mabox for export.Kwenye hiyo ofisi ya kuuza pikipiki ndio kuna hiyo computer ?!
Hapana siyo MwanzaUmesema unaota uko Mwanza?
Katika ndoto hiyo sijawahi kukutana na yeyote ninayemfahamu nje ya hiyo ndotoMarafiki zako wa kule na mke wako,jaribu kuwatafuta huku and vice versa
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Asante kwa ushauri, nikipata muda nitaingia chimbo google nisome kuhusu hiyo ya dimensions uliyoniambia.Mkuu hauna disorder yoyote...sio MPD au chochote kinachoendelea kwenye maisha yako ni bahati kubwa sana na wanayo watu wachache
Unaishi kwenye dimension mbili tofauti...kwa wakati mmoja ambayo huwa hairuhusiwi au sio rahisi..unaishi kwenye future ndotoni na unaishi maisha ya sasa hv in reality..
Dimension huwa haziingiliani mpaka ufe ndio unaenda kwenye dimension nyingine..zako unaziishi kwa wakati mmoja
Ushauri kuna watu wanafanya utafiti kuhusu dimensions na time travel watafute nafkiri utakua tajiri kabisa, kingine from today pay attention sana kwenye ndoto inaonekana technology inayotumika ni cutting edge...jaribu kuchukua maarifa uyalete kwenye maisha ya kawaida pay attention
Swiss nafkiri na sweden wanafanya sana tafiti pia soma online kuhusu dimensions uko gifted
Huwa sishtuki kwenda haja ndogo. Mke wangu tunafanya kabla hatujalala, na siyo kila siku. Siku hizi tunafanya mara moja kwa wiki, hasa hasa wikiendi, wakati mwingine mchana (tuko over 50), lakini yule wa ndotoni ni daily maana katika ndoto ni kijana. Kushtuka usiku huwa inatokea kama ajali, mfano siku moja katika ndoto niliota nimeteleza kwenye tiles nikaanguka halafu mlinzi akanidaka kabla sijafika chini, na hapohapo nikazinduka usingizini nikakuta mke wangu ananitingisha mabega kuniamsha! Nilipomuuliza kunani akasema amesikia kishindo nje, nilipotoka kuangalia nikakuta kuna mgomba jirani na dirisha ulikuwa na ndizi kubwa ulikuwa umevunjika, nadhani sababu ya upepo au kuelemewa. Nimeshasimulia mahali pengine kilichotokea siku moja niliposinzia kwenye basi. Na kuna ile siku niliyoota kuwa AC imelipuka ofisini tukatoka mbio kugombea mlango nikajigonga kwenye mlango wa kioo nikazinduka usingizini, kumbe kiuhalisia ni tubelight ya nje (imefungwa kwenye ukuta wa nyumba) ilipasuka kwa kishindo!Alafu kwani usiku hushtukagi hata kwenda haja ndogo hv,vipi ukiwa safarini una drive bila kulala au msibani? Je? Mkeo unakutana nae kimwili saa ngapi? Maana inaonesha ukilala umelala kwani akuhamshagi au kukushtua kama saa 8 hv au sita, response yako inakuaje? Je? Uliwah kumsimulia mke au wazazi wako Hilo tukio? Je? Walikushaur nini?.
Hilo sitajibu, unaweza kukuta yuko hapa JF. Sitaki kumkwaza.Mke wako wa ndotoni na wa maisha halisi yupi mkali?
Sina hiyo schizophrenia wala chochote kinachofanana hivyo. Sina hizo hallucinations au sijui sauti za maruweruwe wala chochote. Nafanya shughuli zangu mchana kama kawaida na nina afya nzuri, usiku nikilala naendelea na ndoto yangu.Ndio maana nimesema baada ya kumsoma zaidi nimehisi ana matatizo mawili. Schizophrenia au DID na asilimia kubwa nimeiweka hapo kwenye Schizophrenia
Naomba maelezo zaidi mkuu, it sounds interestingHichi ndio nilikuwa nakifikiria ingawa sikutaka kutoa conclusion yangu kwasababu sio rahisi kuweza kuishi kwenye dimensions zaidi ya moja at a go, huwa ni nadra sana kutokea kitu kama hicho.
Nikipata muda nitaelezea vizuri nilivyoweza kuitambua hiyo concept kwa upande wangu.
Naomba unitag, ukija kuelezeaHichi ndio nilikuwa nakifikiria ingawa sikutaka kutoa conclusion yangu kwasababu sio rahisi kuweza kuishi kwenye dimensions zaidi ya moja at a go, huwa ni nadra sana kutokea kitu kama hicho.
Nikipata muda nitaelezea vizuri nilivyoweza kuitambua hiyo concept kwa upande wangu.