Inashangaza mpka leo hujapata majibu sahihi?
Wapo wanaokubeza, wapo wanaotukana kuwa ni bangi, wapo wanaopuuza,pia wapp mpka wanao toa ushauri wa kijinga, bila kuwasahau wale wanaojitahidi kutoa mashauri yanayomake sense.

note:- jaribu kukumbuka hiyo ndoto yako ilianza vipi, yaan namaanisha, mazingira yapi, wahusika wapi, matukio yapi, inshort kumbuka mwanzo mzima wa hii ndoto yako then leta mrejesho.

kwa mujibu wa ndoto yako inaweza pia kuonesha nafsi yako na utu wako wa ndani, unaishi sehem mbili, hii ni kawaida, japokuwa utofaut na sisi wengine ni kuwa tunapopata ndoto kama za kwako huwa hazina miendelezo
Mfano sisi wengine huweza kuota ndoto fulan na ktk hiyo ndoto unajikuta unapata kumbukumbu za mambo ambayo uliwai yafanya ktk ulimwengu wa hiyo ndoto, pia matukio na wahusika wa hiyo ndoto unawakumbuka, chaajabu tu ndoto hizi huwa hazina miendelezo.
Sasa kwakuwa wew mwaka wa12 huu bado unapata hiyo ndoto, inaonesha usiriaz mkubwa upo na unatakiaa kuufanyia kazi ,or otherwise utakuja kuchelewa mambo.
Ndoto yako ina mambo makuu 2 ambayo moja wapo ni lakweli.

1). Maana ya kwanza
Huwenda hiyo ndoto unayoiota ni matukio ya maisha yako yalivyotakiwa kuwa, ama hayo matukio ni kivuli cha maisha yako yalivyotakiwa kuwa, na huwez kuyapitia maana in real world(dunian) umepitia maisha tofauti na umri wako hauwez kuakisi kuwa hayo maisha utayapitia lkn ilitakiwa yafanane na hayo ya uko.
Ktk ndoto kuna tafsiri nyingi, ,kutokana na mazingira ya ndoto
Mfano nafsi yako ikisafiri na kwenda in FUTURE basi ndoto zako zitaweza kuwa na matukio yanayoshahabiana na ya sasa utofaut wake ni mazingira/mandhari na wahusika wa Nyakati hizo pia vifaa, na kyzitafsiri ndoto hizi huwa ngumu maana kwa nyakat tulizo nazo hatujabahatika kuyajua yajayo hivyo hata vifaa vya nyakati hizo hatuvijui lkn tunaweza kupredict, mfano ulivyosema kuna computer mpapaso ya kioo kwa nyakat zetu tunaweza kutafsiri kulingana na technolojia yetu, lkn kuna undani zaid.
Pia nafsi yako inaweza kusafiri ktk nyakati zilizopita na hapa huwa rahisi kutafsiri maana mazingira ya ndoto hufaamika, mybe wahusika itakuwa vgumu kwakuwa ndoto hubeba characters tofauti na hawa wa real world, na kwa mujibu wa ndoto yako inaonesha ni Future period, ndiomaana kuna mazingira na vitendea kaz vya kisasa na utofauti.

2) Maana ya 2 na ya Mwisho
Nilikuomba ukumbuke mwanzo wa ndoto kuanzia wahusika mpka mazingira ili tujue chanzo cha ndoto yako, na nina kukumbusha kuwa, hii dunia ina siri kubwa, ambazo wengi hatuzijui na kwa bahat mbaya hatufundishwi haya mambo kwa upana.
Ulimwengu una viumbe wengi tofaut na sisi viumbe wa dunian, na kitu pekee ambacho sisi watu wa dunia hii tunaweza kushare uwepo wetu na viumbe wengine ni kupitia roho/nafsi zetu tu.
Sasa kwakuwa viumbe hao uishi nje ya nadharia ya maisha ya dunia hivyo kuingia ktk dimension waliopo wao ni kupitia roho zetu, na kuingia ktk ulimwengu huo inakuhitaji kuswitch OFF akili na ufahamu wa dunia hii na kuiruhusu ROHO/NAFSI yako kuamka na kuwa active ktk ulimwengu huo,
na kuna njia nyingi za kuswitch Off ufaham wa mwil wa kidunia, mfano, kulala ambapo akili na ufaham huwa off na roho kuwa active, pia kupitia sleep palalyse(meditation/opening third eye chakra) na mengineyo ni aina za kuswitch Off ufaham wa akili ya kidunia.
Unatakiwa ujuwe pia nafsi,roho na mwili(akili+ufaham wa dunia) huwa na kumbukumbu zake, na ufaham wa kidunia kumbukumbu zake zipo kichwan na muonekano wake ni mwili, vivyo hivyo kwa nafsi na roho zina akili zao na kumbukumbu zao na mionekano yao ambayo haina tofauti na uo wako.
Nikirudi ktk ndoto yako, nilitaka kumaanisha kuwa kama ungekumbuka chanzo cha ndoto yako ningeweza ku conclude kuwa huwenda uliwai fanya mafungamano na baadhi ya kiumbe wasio wa dunia hii, na hatima yake roho yako ama nafsi yako iliweza kushikiliwa ktk kingdom ya viumbe hao kwa kufanya makazi nao kwa kuishi pamoja na kutengeneza family, na huenda mafungamano haya yalitokea kwa matakwa yako ama bahat mbaya ndiomaana nauliza chanzo.
Viumbe hawa huwa na maajabu mengi sana na ndio hawa hawa wenye majina tofauti tofauti wawaitayo dunian, ambao hawa wote ni mapepo.
Madhara huwez yaona kama ulikubalika ktl kingdom hiyo, lkn mwisho wako utakuja kuutambua ukweli, viumbe hao wanapenda kufanya makutano na binadamu/watu, lkn kwa bahat mbaya hawana miili ya kuwaruhusu kuweza kushare mionekano ya kidunia that's why hupenda kufoji mionekano ya kiroho kujihusisha na roho yako ktk ulimwengu wa roho(ndoto), na kamwe huwez kutambua kalenda ya nyakat za ulimwengu wa roho/ndoto maana huko hakuna MUDA wala hakuna ukomo lkn kuna maisha ya kawaida ambayo unaweza kuyatafsiri kulingana na akili yako itakavyotaka uwaze.
Mfano ukiwa kule ukaishikia kalenda hutoona kitu ama unaweza kuona ni mwaka 2100 at the same time ukastuka huamini maana dunian ni 2022, ukija kutazama tena kalenda utaona ni 2001, unajua kwa nini? Kwa sababu kule hakuna Limitation yoyote ya muda, umri, wala maisha, pia inawezekana kule ukawa na muonekano wowote uutakao, believe me kama ukijitambua ktk ndoto hiyo basi utakuwa ndiye controller wa ulimwengu huo maana wew ndye final character ambaye unaweza fanya lolote utakalo,including kuharibu/kutengeneza lolote utakalo, na utaweza kufanya haya endapo tu utajitambua ktk ndoto hizo na kuforce ufaham wako wa dunia uingilie faham za ndoton na kuweza kucontro matukio yoyote ktk ndoto, hata ukitaka uwe rais huko utaweza, ama mtuhumiwa utaweza, ijapokuwa utakuwa unaweza hata kupambana na wahusika wa huko wasiweze kukudhuru maana nguvu na uwezo upo ndani yako mwenyewe FINAL CHARACTER..
Hitimisho

uwezo wa kufanya lolote ni juu yako, hata ukitaka usiote tena inawezekana.