Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,597
Kivuli ninacho mkuuJikague uangalie kama unakivuli
Anaweza akasaidia wengi kuyajua maisha ya huko yapojeAiseee,..nimewaza tuu siku ukifa kwenye hiyo ndoto sijui utaoneshwa life after death,.![]()
Malipo utayatumia huko huko au upande huuMkuu nitafutie kazi huko ndotoni, maisha yamenipiga sana huku upande wa kwanza.
Labda nikifa kwenye hiyo ndoto ndiyo itakuwa mwisho wa ndoto hiyo, maana imekuwa kama series.Aiseee,..nimewaza tuu siku ukifa kwenye hiyo ndoto sijui utaoneshwa life after death,.![]()
Bado naamini kuwa ni ndoto tu, lakini nashangaa kwanini inaendelea kama series, miaka nane sasa?Anaweza akasaidia wengi kuyajua maisha ya huko yapoje
Kule ndotoni napata malipo mazuri sana na ninayatumia kulekule.Malipo utayatumia huko huko au upande huu
Mkuu itafute hofu ya mungu ilipo utuache sisi raia tusio na hatia mana naona mauza mauza tu.Nina wake wawili na two homes. Moja ya real life hii hapa na nyingine ya ndotoni. Na zote naziishi kwa kulala. Nikilala huku naamkia kule, na nikilala kule naamkia huku. Lakini si kwamba huwa silali, no, ninapoamka najisikia fresh kabisa kwamba nimepumzika vya kutosha usingizini na yaliyotokea ni ndoto tu.

Ndotoni nakutana na watu wengi na tunafanya mijadala mingi, na siku za jumapili huwa naenda kanisani na familia ya kule. Lakini watu wale wote sijawahi kumwona hata mmoja huku.Sasa mkuu jaribu kufatilia,maybe miji au watu wa ndotoni na wa real kama yupo ata mmoja unayemfaham,
Ungekuwa mganga au mchawi ningeweza kukubaliana na wewe..Kuna MTi mmoja wa porini unautumia kuchemsha na maji unakunywa kimiminika chake asubuhi halafu ikifika usiku utakapo lala ..Ndoto utakazo ota zitakuwa kana kwamba ni ukweli kabisa ..Yani utakuwa unarudi " duniani" na kufanya /kuona kila kitu kana kwamba haujalala..Yote hayo huwa naota. Naoga, naongea, nacheza, naogelea, nafanya mikutano, naenda supermarket kununua vitu, yote hayo ndotoni. Na nikiamka nakuta kila kitu nilipolala kipo shwari na mke wangu yuko kando yangu kama kawaida.
No, ni maisha tu ya kawaida, pilikapilika hizihizi. Kila kitu.Maisha ya kule na ya huku kuna nini cha tofauti umekiona??
Mkuu nimesema ni ndoto, ilianza 2010, imeendelea hivyo in series kila siku na matukio mapya hadi leoMkuu itafute hofu ya mungu ilipo utuache sisi raia tusio na hatia mana naona mauza mauza tu.
Yani kweli mkuu unaamua tukupigisha kwata bila sababu za msingi kweliiiii. .![]()
![]()
![]()
Ni mti gani huo mkuu? Sijawahi kutumia kitu chochote tofauti na vyakula na maji wanayotumia wengine.Ungekuwa mganga au mchawi ningeweza kukubaliana na wewe..Kuna MTi mmoja wa porini unautumia kuchemsha na maji unakunywa kimiminika chake asubuhi halafu ikifika usiku utakapo lala ..Ndoto utakazo ota zitakuwa kana kwamba ni ukweli kabisa ..Yani utakuwa unarudi " duniani" na kufanya /kuona kila kitu kana kwamba haujalala..
Sawa endelea kuota mkuu, usikute na sisi tuko ndotoni kujadili na mtu aliyeko ndotoni.Elewa tu kuwa ninapokuwa huku ni ndoto ya kule, na nikiwa kule ni ndoto ya huku. Kwahiyo maisha yote ni ndoto.
😀😀😀Sawa endelea kuota mkuu, usikute na sisi tuko ndotoni kujadili na mtu aliyeko ndotoni.