Ismoo
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,048
- 1,468
Kazi ya kubashiri tuwaachie ma nabiiUkizijua kanuni na ukiwa na mtaji mzuri betting ni pesa ya bure labisa
Kazi ya kubashiri tuwaachie ma nabiiUkizijua kanuni na ukiwa na mtaji mzuri betting ni pesa ya bure labisa
Sasa sikia chukua hiyo pesa weka bet pawa mpe USA, leo anashinda odd ni 4.7 unazidisha mara 40 utapata kama laki na masehemu hiv, yani utakua umevuka lengoSalam Wakuu
Kama heading inavyojieleza, Nipo mkoani, Je ninawezaje kutumia fedha hi niliyonayo kufikia malengo yangu ndani ya muda tajwa?
Ushauri mzuri sana....1.nunua jiko la mkaa-choma maindi jioni
2.kakodi banda (ulipe kwa siku) kisha uza matunda
3.azima brenda kwa jirani kanunue matunda kisha tengeneza juisi-utembeze
4.Kama Mkoa uliopo kuna shida ya maji kodisha mkokoteni kwa siku nadhani ni 2000 kisha kanunue madumu 6 ubebe maji upeleke penye uhitaji.
5.Kanunue mboga za majani tofauti tofauti kutoka kwa wakulima-ukauze sokoni.
6.Kalangue miwa kisha upange kwenye kijisenta uuze.
7.tengeneza mandazi ukauze kwenye shule za msingi na sekondari.
Sasa sikia chukua hiyo pesa weka bet pawa mpe USA, leo anashinda odd ni 4.7 unazidisha mara 40 utapata kama laki na masehemu hiv, yani utakua umevuka lengo
Ok.Kuna maduka mengi ya simu siku hizi wanafanya hivyo
Kubet kumewapoteza kifikra watanzania wengi hadi watu wazima leo hii wanabet ni hasara KWA Taifa pesa inaenda KWA Muhindi anajenga na kusomesha kwao India....mtu anaweka jero anaitafuta laki 4 ni msiba wa KWA Taifa.Ushauri wangu vijana tufanye biashara zenye uhalisia sio kubet
Amehsfanya hivyo na sasa hana kitu...unamshauri nini kingine?.Beti mpe Brazil dhidi ya Cameroon tia mzigo wote
Bora kuna mnao ona hii hasara, kuna watu hata umwambie vipi wala hakuelewi wamesha kuwa addictedKubet kumewapoteza kifikra watanzania wengi hadi watu wazima leo hii wanabet ni hasara KWA Taifa pesa inaenda KWA Muhindi anajenga na kusomesha kwao India....mtu anaweka jero anaitafuta laki 4 ni msiba wa KWA Taifa.
Na imetoa *****😜Mpe Simba na mechi iwe na magoli mawili bila shaka unapata mara 2 ya hela yako
SWADAKTA! ITS POSSIBLE 10$ (24780TSH) JUST TAKE ADVANTAGE OF GAP STRATEGY ON SUNDAY MIDNIGTH,YOU CAN MAKE MORE THAN UR EXPECTATION 20$-60$Salam Wakuu
Kama heading inavyojieleza, Nipo mkoani, Je ninawezaje kutumia fedha hi niliyonayo kufikia malengo yangu ndani ya muda tajwa?
Ni noma sanaBora kuna mnao ona hii hasara, kuna watu hata umwambie vipi wala hakuelewi wamesha kuwa addicted
Mbona wapo ambao wanapata pesa nyingi kwenye Betting! Hilo utasemaje? au na lenyewe unalitengenezea maneno ya kifala ili uje uccoment upuuziKubet kumewapoteza kifikra watanzania wengi hadi watu wazima leo hii wanabet ni hasara KWA Taifa pesa inaenda KWA Muhindi anajenga na kusomesha kwao India....mtu anaweka jero anaitafuta laki 4 ni msiba wa KWA Taifa.
Wanaopata pesa kwenye betting ni wachache sana kuliko wanaopjgwa kila siku.Mbona wapo ambao wanapata pesa nyingi kwenye Betting! Hilo utasemaje? au na lenyewe unalitengenezea maneno ya kifala ili uje uccoment upuuzi
Sijaelew hapaSWADAKTA! ITS POSSIBLE 10$ (24780TSH) JUST TAKE ADVANTAGE OF GAP STRATEGY ON SUNDAY MIDNIGTH,YOU CAN MAKE MORE THAN UR EXPECTATION 20$-60$
Leo weka 0-0 FT kati ya England na Senegal halafu 1-1 FT kati ya France na PolandSalam Wakuu
Kama heading inavyojieleza, Nipo mkoani, Je ninawezaje kutumia fedha hi niliyonayo kufikia malengo yangu ndani ya muda tajwa?
Uliliwa shilingi ngapiBeti mpe Brazil dhidi ya Cameroon tia mzigo wote