Habari wakuu, hapa sijui Mimi ndie mshamba au huyu jirani yangu ndie ana matatizo ya afya ya akili.
Tupo wapangaji wawili ndani ya fance, yeye ana upande wake na Mimi nina upande wangu, lakini wote tunashea gate Moja.
Mimi nipo na familia yangu ya mke na watoto wawili pamoja na ndugu Mmoja wa kiume ambae umri wake ni mdogo.
Mpangaji mwenzangu yeye pia yupo na mke wake, watoto pamoja na ndugu wengine wenye umri mdogo (dada wa kazi na mabint wa 3 wadogo)
Huyu mpangaji mwenzangu amekuwa na tabia ya kuzurura na boxa bila kuhofia watoto wadogo waliopo ndani, sio mala Moja Wala mala mbili hii imekuwa tabia yake ya kila siku
Kibaya zaidi kuna muda huwa anakuja hadi kwenye upande wangu, kumtafuta mtoto wake akiwa na boxa lake.
Nimejaribu kumtafakari lakini nimeshindwa kumuelewa, nyumbani kwake kuna watoto wadogo, kwangu pia kuna watoto wadogo yeye hana wasiwasi hata kidogo.
Nisije nikawa namfikiria vibaya, au pengine nikawa na mambo ya kikoloni.
Ninyi mnamtafsiri vipi huyu jamaa maana nimeanza kufikiria kuhama.
NB; Siwezi kutofautisha R na L
Tupo wapangaji wawili ndani ya fance, yeye ana upande wake na Mimi nina upande wangu, lakini wote tunashea gate Moja.
Mimi nipo na familia yangu ya mke na watoto wawili pamoja na ndugu Mmoja wa kiume ambae umri wake ni mdogo.
Mpangaji mwenzangu yeye pia yupo na mke wake, watoto pamoja na ndugu wengine wenye umri mdogo (dada wa kazi na mabint wa 3 wadogo)
Huyu mpangaji mwenzangu amekuwa na tabia ya kuzurura na boxa bila kuhofia watoto wadogo waliopo ndani, sio mala Moja Wala mala mbili hii imekuwa tabia yake ya kila siku
Kibaya zaidi kuna muda huwa anakuja hadi kwenye upande wangu, kumtafuta mtoto wake akiwa na boxa lake.
Nimejaribu kumtafakari lakini nimeshindwa kumuelewa, nyumbani kwake kuna watoto wadogo, kwangu pia kuna watoto wadogo yeye hana wasiwasi hata kidogo.
Nisije nikawa namfikiria vibaya, au pengine nikawa na mambo ya kikoloni.
Ninyi mnamtafsiri vipi huyu jamaa maana nimeanza kufikiria kuhama.
NB; Siwezi kutofautisha R na L