Nina 350,000 nishauri simu ya kununua

Nina 350,000 nishauri simu ya kununua

NATAFUTA SIMU IPHONE 6 PLUS NA NOTE 5 BAJETI YANGU 450,000 KWA KILA MOJA
Mkuu honestly note 5 isiokua na flaws ukipata kwa cheap sana 500k.
Mie nimebaki nayo 1 dark blue 32 gb mwisho wangu 520k.
Kwa iphone 6 + 16 GB waeza pata hadi kwa 600k- 550k na 64 GB si chini ya 700k.
Binafsi nina 6+ slightly used nauza 800k.
In a nutshell.
Kwa offer hiyo You can't swerve away from either of the two.
ukutane na tapeli akupige ama upate simu yenye vipengele tena ya wizi.
All the best kaka
 
Kaka kwa price hiyo wapata Samsung note 4 slightly used iliyonyooka full box.
Tuna nyeupe na nyeusi
Memory 32 gb
Ram 3 gb
Camera 16mp
Battery 3220mAh
Network LTE 4g.
Contacts 0739332255 or 0652332255.
Tupo Ilala
Hii imetumuka mda gani mkuu??
 
Tafuta mwaminifu uagize Dubai au Oman
0a5fb30c8f2f47be038084b86a100b5e.jpg
 
Back
Top Bottom