Nina 350,000 nishauri simu ya kununua

Nina 350,000 nishauri simu ya kununua

Kaka kwa price hiyo wapata Samsung note 4 slightly used iliyonyooka full box.
Tuna nyeupe na nyeusi
Memory 32 gb
Ram 3 gb
Camera 16mp
Battery 3220mAh
Network LTE 4g.
Contacts 0739332255 or 0652332255.
Tupo Ilala
 
Mkuu nikushauri tuu tafuta IPhone simu imara na haina usumbufu kama simu za adroid.
Hapa anapata 5 au 5s tu.

Wakati android anapata note 4.

Hizo simu hazilingani kwa kigezo chochote.
 
Mkuu nikushauri tuu tafuta IPhone simu imara na haina usumbufu kama simu za adroid.
Skate boy IPHONE gani ina Picha Nzuri na storage Nzuri kwa bei yangu hiyo na naipata wapi chief
 
Kaka kwa price hiyo wapata Samsung note 4 slightly used iliyonyooka full box.
Tuna nyeupe na nyeusi
Memory 32 gb
Ram 3 gb
Camera 16mp
Battery 3220mAh
Network LTE 4g.
Contacts 0739332255 or 0652332255.
Tupo Ilala
Idriss napata na accessories zake
 
ebu weka picha ya iyo 350000
1aba70e35a3223ac6411866ad51bbb28.jpg
 
Kaka kwa price hiyo wapata Samsung note 4 slightly used iliyonyooka full box.
Tuna nyeupe na nyeusi
Memory 32 gb
Ram 3 gb
Camera 16mp
Battery 3220mAh
Network LTE 4g.
Contacts 0739332255 or 0652332255.
Tupo Ilala
Wazee idriss ananiuzia samsung Note 4 mda Si mrefu biashara inafungwa asanteni nyote
 
Kaka kwa price hiyo wapata Samsung note 4 slightly used iliyonyooka full box.
Tuna nyeupe na nyeusi
Memory 32 gb
Ram 3 gb
Camera 16mp
Battery 3220mAh
Network LTE 4g.
Contacts 0739332255 or 0652332255.
Tupo Ilala
Plastations hamna hapo ofisini kwenu? Maana nyie ni wakali wa haya mambo ya digital..
 
Back
Top Bottom