Nina 350,000 nishauri simu ya kununua

Nina 350,000 nishauri simu ya kununua

Kaka kwa price hiyo wapata Samsung note 4 slightly used iliyonyooka full box.
Tuna nyeupe na nyeusi
Memory 32 gb
Ram 3 gb
Camera 16mp
Battery 3220mAh
Network LTE 4g.
Contacts 0739332255 or 0652332255.
Tupo Ilala
Ndugu nimeipenda hiyo not4 japokuwa Hilo tangazo sjatoa mimi vp ofis yako inapatikana wapi
 
Ndugu nimeipenda hiyo not4 japokuwa Hilo tangazo sjatoa mimi vp ofis yako inapatikana wapi
Napatikana Ilala boma.
Pia Agrey st Kariakoo lakini nafanya free delivery pia kwa Dar.
Note 4 zipo bado mkuu karibu.
Hapa napeleka simu
c8a94df3ed7e9ec4f118f903432e83e3.jpg

11002b7829ba02f5d0388e7a0276ae91.jpg
 
Note 3 naweza kupata kwa bei gan?
S5, S4 vp na ni za nchi gan? Nijb plz
Honestly note 3 tumeacha kuleta muda kidogo.
Kwa note series tuna note 4, note 5, na note edge 32 gb na 64 gb.
Kwa S series tunaanzia S5(though zimeisha pia)
Tuna s6, s6 edge, s6 edge + na S7 edge. 32 gb hadi 128 gb
Karibu mkuu.
 
Honestly note 3 tumeacha kuleta muda kidogo.
Kwa note series tuna note 4, note 5, na note edge 32 gb na 64 gb.
Kwa S series tunaanzia S5(though zimeisha pia)
Tuna s6, s6 edge, s6 edge + na S7 edge. 32 gb hadi 128 gb
Karibu mkuu.
Samsung zenu ni za nchi gan?
Na hyo S6 ni bei gan?
 
Note 3 naweza kupata kwa bei gan?
S5, S4 vp na ni za nchi gan? Nijb plz
Though kwa note 3 iliyonyooka mkorea/mjapan / US
Yenye lite /LTE 4G
Memory 32 gb
280k hadi 260k nakutafutia kwa wadau.
I prefer note 3 over and above s4 and s5 kwako mkuu.
 
Wakuu nina hela hapa sasa nataka kutimiza lengo langu la kununua simu yenye kamera na betri Nzuri mimi ni mtu wa Picha sana ushauri wenu tafadhari kabla matatizo hayajazuia lengo langu
0718295182
Samsung j7 nzuri
 
Back
Top Bottom