Nimueleze mjomba wake?

Nimueleze mjomba wake?

unasema miez niliolewa November ... December wakaja wanafunzi kuja kusoma tuition mjini acha katika maisha yako usije ukamshaur mwanao kuolewa na wasukuma
Ndoa yako ni kizungumkuti, pole
 
Huyo hana adabu khabithi l'amali, mwanahizaya mkubwa aliekosa mafunzo. Mshenzi mmoja asiejua zuri wala baya, mmbwa koko aliekosa malezi ya wazazi wake.

Mwanamke kinyampera asiejijua msungo mkubwa. Uso umemparama mkosa soni mshenzi huyo.

Ndugu yangu nakusihi fanya juu chini umtimue hugo mbwa koko laa sivyo utakuja juta.
Haaa haa Kinyampera asiejijua!
 
Natumai wazima wote.

Naomben mawazo yenu hasa wanawake mlioko kwenye ndoa
Mi nipo ndoan miez michache tu nimeolewa baada ya miez 2 akaja mtoto wa wifi yangu naishi nae hapa
Sasa Kuna vitabia anavyo ambavyo kweli kibinadamu vinanikwaza ila navumilia sababu najua tumetoka familia tofauti na tumelelewa malezi tofauti..

Vingi napotezea tu sababu najua may be utoto au!

Bint Anamika 25 tabia yake kubwa inayonikera nikuingia chumbani kwangu yeye anachumba chake lkn akiwa nashida anaingia tu haijalishi atanikutaje labda navaa wala hajali binafsi naona kitu Cha ajabu sababu tulivyokua chumba Cha baba na mama Cha kuheshim na tulikua tunaingia kwa emergency, nilimuita nikamwambia ukiwa na shida chumbani niambie au bisha hodi lkn haiajsaidia

2) tabia ya pil anafanya vitu anavyotaka yeye mfano akitaka kupika haulizi tunapika Nini anapika anavyojisikia na anavyotaka yeye unakuta hela niliyoachiwa ikiisha naulizwa Mimi nashindwa kumwambia mjomba ake napotezea tu.

Kila siku anakuja na marafiki wapya hata anitambulishi Wala siwajui napishanao tu naweza kutana na mtu jikon au chumbani kwake hata cjui Ni Nan serious nakosa Amani nashindwa nifanyeje

Kibaya mjomba wake anaamini huyu bint yuko parfect 100% hata akikosea anaogopa kumwambia so nashindwa nifanyeje
Et mjomba wake, yaan hata kusema "mme wangu" ni shidah?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
maimatha
Nilipitia exactly unachopitia
Binafsi huwa naongea il nikiongea zaidi ya mara moj
Nanyamaza na kupuuzia
Yule binti alifanya visa
Halafu anazunguk kwa majirani anasema namnyanyasa
Alianza tabia anatoka usiku anarudi alfajiri
Nikaamua nafunga milango yote alivyorudi akaa nje mpaka mjomba wake akamkuta
Akadai alienda kuchota maji nikamfungia nje

Mjomba ake alinisema sana
Nikamwambia kama unamtaka nakuachia mimi siwezi kushindana na mwanamke mwenzangu ndani ya nyumba yangu mwenyewe
Alivyoharibu akajiona amebeba mimba akatafuta namna ya kuondoka mwenyewe kuepusha aibu.

Nikamwambia mjomba binti yako ana mimba akanisema sana, halafu wakaungana na wakwe kusema namnyanyasa mjukuu wao,
Walivyokuja kuujua ukweli kila mtu ananionea aibu

Kikubwa shika msimamo. Itisha kikao cha dharura wakati mume kakaa seblen ueleze A-
Z
Umpe rules na mjomba akiwepo hapo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mgeni aje kwangu halafu anipande kichwani haiwezekani kabisa lazima afate masharti ya nyumbani kwangu.
...Unaendekeza Unafiki wa sisi Waafrika ndugu.
Yaani mtu yuko kwenye Himaya yako halafu hana adabu hivyo na wewe unamnyamazia tu anakupanda kichwani unaishia kuja kulalamikia huku JF, mpendwa?
Ama ni kama alivyosema mkuu mmoja humu kwamba labda na wewe hujaolewa ndoa ya kweli hivyo Hujiamini?
Uswahili ambao mmeishafanya wa Kuoana kisha miezi Miwili wameishawaletea mzigo, halafu mzigo wenyewe hauna adabu hivyo halafu bado unauchekea..!!! Timua !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumai wazima wote.

Naomben mawazo yenu hasa wanawake mlioko kwenye ndoa
Mi nipo ndoan miez michache tu nimeolewa baada ya miez 2 akaja mtoto wa wifi yangu naishi nae hapa
Sasa Kuna vitabia anavyo ambavyo kweli kibinadamu vinanikwaza ila navumilia sababu najua tumetoka familia tofauti na tumelelewa malezi tofauti..

Vingi napotezea tu sababu najua may be utoto au!

Bint Anamika 25 tabia yake kubwa inayonikera nikuingia chumbani kwangu yeye anachumba chake lkn akiwa nashida anaingia tu haijalishi atanikutaje labda navaa wala hajali binafsi naona kitu Cha ajabu sababu tulivyokua chumba Cha baba na mama Cha kuheshim na tulikua tunaingia kwa emergency, nilimuita nikamwambia ukiwa na shida chumbani niambie au bisha hodi lkn haiajsaidia

2) tabia ya pil anafanya vitu anavyotaka yeye mfano akitaka kupika haulizi tunapika Nini anapika anavyojisikia na anavyotaka yeye unakuta hela niliyoachiwa ikiisha naulizwa Mimi nashindwa kumwambia mjomba ake napotezea tu.

Kila siku anakuja na marafiki wapya hata anitambulishi Wala siwajui napishanao tu naweza kutana na mtu jikon au chumbani kwake hata cjui Ni Nan serious nakosa Amani nashindwa nifanyeje

Kibaya mjomba wake anaamini huyu bint yuko parfect 100% hata akikosea anaogopa kumwambia so nashindwa nifanyeje
pole dada huyo bint ashndwe na alegee hilo ni shetan lataka kuharibu ndoa yako,cha msngi mchane mble ya mjomba wake usiogope kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo hana adabu khabithi l'amali, mwanahizaya mkubwa aliekosa mafunzo. Mshenzi mmoja asiejua zuri wala baya, mmbwa koko aliekosa malezi ya wazazi wake.

Mwanamke kinyampera asiejijua msungo mkubwa. Uso umemparama mkosa soni mshenzi huyo.

Ndugu yangu nakusihi fanya juu chini umtimue hugo mbwa koko laa sivyo utakuja juta.
jaman lakin punguza ukal wa.maneno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...Unaendekeza Unafiki wa sisi Waafrika ndugu.
Yaani mtu yuko kwenye Himaya yako halafu hana adabu hivyo na wewe unamnyamazia tu anakupanda kichwani unaishia kuja kulalamikia huku JF, mpendwa?
Ama ni kama alivyosema mkuu mmoja humu kwamba labda na wewe hujaolewa ndoa ya kweli hivyo Hujiamini?
Uswahili ambao mmeishafanya wa Kuoana kisha miezi Miwili wameishawaletea mzigo, halafu mzigo wenyewe hauna adabu hivyo halafu bado unauchekea..!!! Timua !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umekosea hii comment au mlengwa ni mimi 🤔
 
Huyo hana adabu khabithi l'amali, mwanahizaya mkubwa aliekosa mafunzo. Mshenzi mmoja asiejua zuri wala baya, mmbwa koko aliekosa malezi ya wazazi wake.

Mwanamke kinyampera asiejijua msungo mkubwa. Uso umemparama mkosa soni mshenzi huyo.

Ndugu yangu nakusihi fanya juu chini umtimue hugo mbwa koko laa sivyo utakuja juta.
huyu ni wewe!?
 
Back
Top Bottom