Nimueleze mjomba wake?

Nimueleze mjomba wake?

Pole sana jitahidi ukiwa chumbani kwako tia comeo kabisa jifungie lazma atajishtukia tuu na ukitoka funga na funguo hata kama umekaa nae hapo uani funguo zako tia kwwnye chuchu kabisa
 
Ashakuwa huyo.
muozesheni fasta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada inaonekana ni mpole kupitiliza sana eti
Mume wangu mimi nikiwa na miezi miwili tu kwenye ndoa akawa anakuja na rafiki zake nikiwa sipo wanapika wemyewe wanakula jioni anajua kabisa atarudi nao ila haniambii mapema ili nifanye maemezi mapema kwa ajili yao sasa unakuta nimeshafanya maandalizi mapema share ya watu wawili na mda umeenda anakuja kunitafuta saa nne usiku kwamba kuna watu anakuja nao kwa hivyo niwawekee chakula nikamwambia mume wangu naomba uwe unanipa taarifa mapema maana unanipa wakati mgumu mimj mpishi natakiwa niwe nafanya maandalizi mapema sasa mida hii nafanyje na magenge mtaani kwetu huku washafunga akawa hanielewi akija na wageni wake inabidi mimi nisacrifice nilale njaa kwa ajili yao yeye na wati alioshinda nao mchana kutwa siku ya tano nikaona huu sasa ujinga nilichokifanya nikapika chakula cha watu wawili kama kawaida nikala chsngu chake nikamwachia kwenye hotpot na mboga yake nikamwachia halafu nikaingia kulala kaja kaoga kamaliza kaenda jikoni kuchukua chakula ili akale na wenzie kukuta chakula cha mtu 1 mboga nayo ya mtu mmoja akicheki sebleni yuko na mwenzie akampakulia mwenzie yeye akalala njaa nakuambia hivi kuanzia hapo akaona kumbe aliyokuwa anayafanya yalikuwa yananitesa nikashangaa kesho yake saa nane mchana ananitumia meseji wife utaweka na share ya John na Dani kuna mahali tumekwenda hivyo jioni watapitia hapo kula chakula maana kwa mda tutakaorudi hawataweza kwenda kupika saa tatu wakawa wamesharudi
Point yangu ni hii ukiona hakuelewi kwa mdomo tafuta mbadala utakaomfanya aelewe tofauti yako na yake ukiona ana kuzingua ni heri lawama kuliko hasara
 
Natumai wazima wote.

Naomben mawazo yenu hasa wanawake mlioko kwenye ndoa
Mi nipo ndoan miez michache tu nimeolewa baada ya miez 2 akaja mtoto wa wifi yangu naishi nae hapa
Sasa Kuna vitabia anavyo ambavyo kweli kibinadamu vinanikwaza ila navumilia sababu najua tumetoka familia tofauti na tumelelewa malezi tofauti..

Vingi napotezea tu sababu najua may be utoto au!

Bint Anamika 25 tabia yake kubwa inayonikera nikuingia chumbani kwangu yeye anachumba chake lkn akiwa nashida anaingia tu haijalishi atanikutaje labda navaa wala hajali binafsi naona kitu Cha ajabu sababu tulivyokua chumba Cha baba na mama Cha kuheshim na tulikua tunaingia kwa emergency, nilimuita nikamwambia ukiwa na shida chumbani niambie au bisha hodi lkn haiajsaidia

2) tabia ya pil anafanya vitu anavyotaka yeye mfano akitaka kupika haulizi tunapika Nini anapika anavyojisikia na anavyotaka yeye unakuta hela niliyoachiwa ikiisha naulizwa Mimi nashindwa kumwambia mjomba ake napotezea tu.

Kila siku anakuja na marafiki wapya hata anitambulishi Wala siwajui napishanao tu naweza kutana na mtu jikon au chumbani kwake hata cjui Ni Nan serious nakosa Amani nashindwa nifanyeje

Kibaya mjomba wake anaamini huyu bint yuko parfect 100% hata akikosea anaogopa kumwambia so nashindwa nifanyeje
Atakuwa msukuma ndo zao hao jamaa
 
Huyo hana adabu khabithi l'amali, mwanahizaya mkubwa aliekosa mafunzo. Mshenzi mmoja asiejua zuri wala baya, mmbwa koko aliekosa malezi ya wazazi wake.

Mwanamke kinyampera asiejijua msungo mkubwa. Uso umemparama mkosa soni mshenzi huyo.

Ndugu yangu nakusihi fanya juu chini umtimue hugo mbwa koko laa sivyo utakuja juta.
Doh mpk utumbo umetetemeka sio kwa kichambo hicho
 
Back
Top Bottom