ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,207
Angekuwa mwanao ungefanyaje?
Sema matabia yenu ya kupenda kushindanashindana na kutoana kasoro na ugomvi wa kijinga..
Hapo tatizo kubwa ni kuingia chumbani na una option ya kufunga mlango wako MDA wote...
Mengine hayo ni roho mbaya zenu za kiasili na kushindwa kuvumilianaga tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema matabia yenu ya kupenda kushindanashindana na kutoana kasoro na ugomvi wa kijinga..
Hapo tatizo kubwa ni kuingia chumbani na una option ya kufunga mlango wako MDA wote...
Mengine hayo ni roho mbaya zenu za kiasili na kushindwa kuvumilianaga tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
