Nimueleze mjomba wake?

Nimueleze mjomba wake?

Angekuwa mwanao ungefanyaje?

Sema matabia yenu ya kupenda kushindanashindana na kutoana kasoro na ugomvi wa kijinga..

Hapo tatizo kubwa ni kuingia chumbani na una option ya kufunga mlango wako MDA wote...

Mengine hayo ni roho mbaya zenu za kiasili na kushindwa kuvumilianaga tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo hana adabu khabithi l'amali, mwanahizaya mkubwa aliekosa mafunzo. Mshenzi mmoja asiejua zuri wala baya, mmbwa koko aliekosa malezi ya wazazi wake.

Mwanamke kinyampera asiejijua msungo mkubwa. Uso umemparama mkosa soni mshenzi huyo.

Ndugu yangu nakusihi fanya juu chini umtimue hugo mbwa koko laa sivyo utakuja juta.
Haya matusi wewe utakuwa mwanamke wa dar uswaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeolewa na upo kwako unashindwa kuwa na maamuzi? au na ww bado mtoto? ,,,kwanza ndg wengne nao shida tu .ndoa ndo ina miez mshaanza kujazana kwa watu ,.mtu hata ashindwe kupumua . asee mi nakutimua fasta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutaacha aisee..ila heshima.
Tunaogopa kumkwaza..just imagine hali ni mbaya mkazo wa Magu.ye anategemea mshahara wa mume kulipia ada na kila kitu.bajeti ya nyumbani imeshuka..mgeni anankunywa chai na mkate mzima..
Kama tumenunua vitumbua anatusua Tisa au kumi..
Ugali sasa mchana...bado maji ya muoga anaagiza awekewe huku yupo sebleni
Mwingine unataka makange kila siku..hataki ugali..kusahau kwamba katoka kijijni ndizi zipo shamba .huku mjini hela tu
Unataka soda kila siku..ilhali mwenyeji wenyewe hawanywi kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe unalea maradhi hayo na yatakucost andika ratiba ya chakula asiyetaka asile siku ukitaka kuipindisha ni wewe mama mjengo mie sicheki na nyani ratiba usiku lazima walk maharage yawepo na nyama au samaki au utumbo na mboga za majani kama huli lala njaa yaani tusifanye maendeleo kwa kukuendekeza mpita njia
Hao wabaya mkija kuwa na hali mbaya ndio wa kwanza kuwacheka na kujidai ohh mlikuwa mnajiona na maisha mazuri
Dada panga ratiba yako nzuri mchana ugali kama haupandi kunywa maji
Wale vizuri ila unachopanga wewe sio kupangiwa mwanamke nyumba usikubali kuendeshwa
IMG_7213.JPG

Ushindwe wewe
 
Mpenz....mi binafsi hua nanunua chakula Cha jumla ndani napoishi sokon mbali so nanua vitu, mboga hata za wiki nzima Sasa ukipika mfano Wal maharage yeye anachukua samaki anapika

Friji haina funguo shangazi yangu mpaka leo anafunga mlango wa jikoni mwanzo alikuwa anafunga friji akabadili chakula akipika anaweka mezani jikoni anatia kitasa funguo
 
Ushauri wangu Kama mwanaume...HAPO UNAISHI NA MKE MWENXIO NI SWALA LA MDA TU UTAKUJA KUGUNDUA UKWELI...maamuzi yyt amua Sasa bado mapema.wanaume tushavurugwa tunatembea na yyt.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumai wazima wote.

Naomben mawazo yenu hasa wanawake mlioko kwenye ndoa
Mi nipo ndoan miez michache tu nimeolewa baada ya miez 2 akaja mtoto wa wifi yangu naishi nae hapa
Sasa Kuna vitabia anavyo ambavyo kweli kibinadamu vinanikwaza ila navumilia sababu najua tumetoka familia tofauti na tumelelewa malezi tofauti..

Vingi napotezea tu sababu najua may be utoto au!

Bint Anamika 25 tabia yake kubwa inayonikera nikuingia chumbani kwangu yeye anachumba chake lkn akiwa nashida anaingia tu haijalishi atanikutaje labda navaa wala hajali binafsi naona kitu Cha ajabu sababu tulivyokua chumba Cha baba na mama Cha kuheshim na tulikua tunaingia kwa emergency, nilimuita nikamwambia ukiwa na shida chumbani niambie au bisha hodi lkn haiajsaidia

2) tabia ya pil anafanya vitu anavyotaka yeye mfano akitaka kupika haulizi tunapika Nini anapika anavyojisikia na anavyotaka yeye unakuta hela niliyoachiwa ikiisha naulizwa Mimi nashindwa kumwambia mjomba ake napotezea tu.

Kila siku anakuja na marafiki wapya hata anitambulishi Wala siwajui napishanao tu naweza kutana na mtu jikon au chumbani kwake hata cjui Ni Nan serious nakosa Amani nashindwa nifanyeje

Kibaya mjomba wake anaamini huyu bint yuko parfect 100% hata akikosea anaogopa kumwambia so nashindwa nifanyeje
kwa ninavyojua mm nyumba ni ya mama, kama ww ndiye mke kabisa, huwezi kuvumilia huo uozo. mwanamke anayemwangalia kuanzia mavazi, kula na kulala mume wake, asilimia 100% controll ya nyumba ni yako sasa unalia lia kama demu guest ni uvivu wa kusimama kwenye nafasi yako. Mimi mwanamke kama ww nakuona una mapungufu maana jambo hilo ni dogo sanaa kuliweka sawa, labda kama icho kitoto ni mke mdogo.
 
Wewe unalea maradhi hayo na yatakucost andika ratiba ya chakula asiyetaka asile siku ukitaka kuipindisha ni wewe mama mjengo mie sicheki na nyani ratiba usiku lazima walk maharage yawepo na nyama au samaki au utumbo na mboga za majani kama huli lala njaa yaani tusifanye maendeleo kwa kukuendekeza mpita njia
Hao wabaya mkija kuwa na hali mbaya ndio wa kwanza kuwacheka na kujidai ohh mlikuwa mnajiona na maisha mazuri
Dada panga ratiba yako nzuri mchana ugali kama haupandi kunywa maji
Wale vizuri ila unachopanga wewe sio kupangiwa mwanamke nyumba usikubali kuendeshwaView attachment 1069699
Ushindwe wewe
Ratiba nzuri ila sio rafiki kipindi Cha mjomba magu,utajipa stress tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeolewa na upo kwako unashindwa kuwa na maamuzi? au na ww bado mtoto? ,,,kwanza ndg wengne nao shida tu .ndoa ndo ina miez mshaanza kujazana kwa watu ,.mtu hata ashindwe kupumua . asee mi nakutimua fasta

Sent using Jamii Forums mobile app

Eti ndani kwako unashindwa kutembea na chupi ndoa mbichi
 
Miaka 25 ni mwanamke mwezio; sio binti huyo!! Kwa swala la kuingia chumbani kwako 1) Uwe unafunga mlango 2) Kama ulimuita ukamwambia na bado hasikii, kua mkali nae mama, mkaripie!! Usiruhusu mtu akuzoee namna hio. Ukianza kumchosha mumeo na maswala madogo kama hayo, yakikukuta makubwa atakua keshajichokea
Anaogopa kumkaripia ataenda kusemwa kwa mama mke na mawifi wwatamchukia,.

Hata kama atafanya kwa wema, kulinda uhuru na siri zake kama mkee wa mjomba Dogo ataona anaonewa mwisho wa siku vitimbi , ndo anaogopaaaa

Mtoa mada um3olewa au jamaa kakuchukua tuu kakuweka ndani??Bila ndoa bila kufahamika kwao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaolewa ndani ya miezi miwili ya ndoa tyr unaishi na mwanamke mwenzio tena wa miaka 25!!!!! Mnabanjuana-ga kimya kimya kama mabubu!!?
 
Huyo hana adabu khabithi l'amali, mwanahizaya mkubwa aliekosa mafunzo. Mshenzi mmoja asiejua zuri wala baya, mmbwa koko aliekosa malezi ya wazazi wake.

Mwanamke kinyampera asiejijua msungo mkubwa. Uso umemparama mkosa soni mshenzi huyo.

Ndugu yangu nakusihi fanya juu chini umtimue hugo mbwa koko laa sivyo utakuja juta.
Dah, watu wanajua kuchamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom