Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,333
Nilikuaga na mupenzi akanizingua,na leo nataka Madame B nimuenzi,isije siku,miezi nae akanisumbua,
naogopa sana vichanga kama Nasema wasije wakanitenda nikazama na huku nina mapenzi ya ukweli.
Wazuri ni wengi ila kuwapata wenye mapenzi ya ukweli kama Madame B ndio balaa,wengi wajanja watoto wa mjini kama cacico wamejaa utapeli na tamaa za pesa kama Mirhea.
Yasiwe kama ya Mamndenyi kila siku mlimani city,usimtake ka Nasema nimteme ana hasira,mpole kama charminglady ila sauti ka darling Madame B akiwa analia kicheko kama cha asali ya moyo wangu Madame B,
baby Madame B ur my number one,uliniomba niconfess hadharani kuwa wewe ni zaidi nami nimefanya hivyo.baby ur my number one.
naogopa sana vichanga kama Nasema wasije wakanitenda nikazama na huku nina mapenzi ya ukweli.
Wazuri ni wengi ila kuwapata wenye mapenzi ya ukweli kama Madame B ndio balaa,wengi wajanja watoto wa mjini kama cacico wamejaa utapeli na tamaa za pesa kama Mirhea.
Yasiwe kama ya Mamndenyi kila siku mlimani city,usimtake ka Nasema nimteme ana hasira,mpole kama charminglady ila sauti ka darling Madame B akiwa analia kicheko kama cha asali ya moyo wangu Madame B,
baby Madame B ur my number one,uliniomba niconfess hadharani kuwa wewe ni zaidi nami nimefanya hivyo.baby ur my number one.
Last edited by a moderator: