Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
afu Baba V,
unajua wewe ndo mchawi wangu.
Sasa hayo yaliyopita umakumbushia ili iwe vipi?
Na akijaribu kunimwaga ni lazima unipe hifadhi.....!!!
Utake usitake.
Kama kukupa hifadhi tu usijali, hata kodi ya nyumba ntakulipia, ila tambua kuwa wanakumwaga sababu ya tabia zako, mtoto chunachuna ka nini, usione wallet nguo zinakuchojoka!!!???
Last edited by a moderator: