Nimpende nani kati ya Madame B na Nasema

afu Baba V,
unajua wewe ndo mchawi wangu.
Sasa hayo yaliyopita umakumbushia ili iwe vipi?
Na akijaribu kunimwaga ni lazima unipe hifadhi.....!!!
Utake usitake.

Kama kukupa hifadhi tu usijali, hata kodi ya nyumba ntakulipia, ila tambua kuwa wanakumwaga sababu ya tabia zako, mtoto chunachuna ka nini, usione wallet nguo zinakuchojoka!!!???
 
Last edited by a moderator:
shopping.jpg


Nilikuaga na mupenzi akanizingua,na leo nataka Madame B nimuenzi,isije siku,miezi nae akanisumbua,
naogopa sana vichanga kama Nasema wasije wakanitenda nikazama na huku nina mapenzi ya ukweli.
Wazuri ni wengi ila kuwapata wenye mapenzi ya ukweli kama Madame B ndio balaa,wengi wajanja watoto wa mjini kama cacico wamejaa utapeli na tamaa za pesa kama Mirhea.
Yasiwe kama ya Mamndenyi kila siku mlimani city,usimtake ka Nasema nimteme ana hasira,mpole kama charminglady ila sauti ka darling Madame B akiwa analia kicheko kama cha asali ya moyo wangu Madame B,
baby Madame B ur my number one,uliniomba niconfess hadharani kuwa wewe ni zaidi nami nimefanya hivyo.baby ur my number one.
 
Viatu laki 3,wese ....... K mwambie mangi aandike invoice ya vitu atakavyochukua my darling aka my sweetheart aka my sugar.




Madame B, nakupitia basi tukaangalia viatu na costume za kuogelea kwa mange. Muambie shem afanye walau kakiatu ka laki 3. Mjini kulindana. Afuvatume na wese kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Madame B, hivi Shem ni nani? maana kama sielewi elewi hivi na nakaribia kupata breini konkasheni
 
Last edited by a moderator:
Kama kukupa hifadhi tu usijali, hata kodi ya nyumba ntakulipia, ila tambua kuwa wanakumwaga sababu ya tabia zako, mtoto chunachuna ka nini, usione wallet nguo zinakuchojoka!!!???

Kwa watu wasikivu huwaga una mawazo mazuri, sometimes!!
 
watu8 mabinti zangu wote nawafundisha ujasiriamali sitaki tena mzidi kuwanyanyapaa,
nataka wawe majasiri kama mimi mama yao.

Madame B, hivi Shem ni nani? maana kama sielewi elewi hivi na nakaribia kupata breini konkasheni
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom