Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,333
- Thread starter
- #41
Mlikuwa hamjatulia,mnatumia muda mwingi sana ktk shughuli zenu na mkirudi home mko busy na laptop zenu hata mkienda lunch ama dinner badala ya kuzungumza na mrembo Madame B nyie mpo busy na simu na kuchat mnategemea nini?
Uzuri haya mambo yanaenda kizamzam, yako inakuja.
Niliambiwa hivihivi na loya rutta nikabisha.
Last edited by a moderator: