chapa iseme
Member
- May 31, 2025
- 70
- 105
- Thread starter
- #81
LEO ASUBUHI KAILETA HAJAENDA IBADANI,, NIMEICHAPA....... case closed
asubuhi na mapema nimemtafuta pekupek
Kwanza Mke wa mjomba unayemuita shangazi yako si ndugu yako. Halafu huyo ni mtoto wa kaka yake ndo kabisa hana hata kaundugu ka mbali.Habari wana jamiiForums...
Imekuwa miezi mingi toka nijisikie hali ya tamaa juu ya binamu yangu,, ananiita kaka yeye ni mdogo kiumri ila tayari ana mtoto na hajaolewa, naishi nae jirani na kwangu ndiko amepanga.
Sasa juzi nimejikuta namtongoza nae kakubali ila jana nimefikiria nikaona kama nimefanya kosa..
Nae sasa ndio kawaka moto kila muda anatuma sms za mahaba juu yangu.. Je, ni mle au nimpotezee iwe tu kama niliteleza?
Ushauri tafadhali ni mtoto wa kaka ya shangazi yaani mke wa mjomba
kweli umeamua ,, mie wakunifannanisha na wan ccm?Hizi ID feki zinaficha mambo mengi sana.
Unakuta mtu kama huyu mleta mada ni mtu na heshima zake kabisa kwenye jamii.utaweza kuta ni majaliwa,Dr Mpango au Wasira,lkn huku jf anauliza ujinga kama huu.
nishamalizana nae leo asubuhiMLEEE WEWE ACHA UZWAZWA KAMA HUMTAKI NJOO DM NIKUONDOLEE LAWAMA
nimeipiga aisee potelea mbaliPiga mbususu acha maswali
Binamu unakula vzur kabsa.Habari wana jamiiForums...
Imekuwa miezi mingi toka nijisikie hali ya tamaa juu ya binamu yangu,, ananiita kaka yeye ni mdogo kiumri ila tayari ana mtoto na hajaolewa, naishi nae jirani na kwangu ndiko amepanga.
Sasa juzi nimejikuta namtongoza nae kakubali ila jana nimefikiria nikaona kama nimefanya kosa..
Nae sasa ndio kawaka moto kila muda anatuma sms za mahaba juu yangu.. Je, ni mle au nimpotezee iwe tu kama niliteleza?
Ushauri tafadhali ni mtoto wa kaka ya shangazi yaani mke wa mjomba
Picha?nimeipiga aisee potelea mbali
nimeila kavu ila nawaza akibeba ball jeWengi tulijifunzia kwa binamu zetu. Ni watamu na hawana mipaka.
mbususu sio pichaPicha?
ila siipigi tena nae nimemwambia mwisho ni leo na mazoea yapungueBinamu unakula vzur kabsa.
hhhaaahahaha miekwa watoto ndio ugonjwa siachagi kizembe ila kwa huyu wa hivi ni mara ya kwanzakuna familia ukioa kwao hakuna rangi utaacha kuona.
Vzur sana ,nimeipiga aisee potelea mbali
acha iwe maana nilimblock kwenye simu leo asbh kaja anauliza kulikon au nilikuwa nampima kaanza kujiliza ,, kosa nilipomshika kumbembeleza ,, akanipa mateVzur sana ,
Wanaume tumeumbiwa lawama
heeMinyege ikishapanda kichwani huwa inakutuma mambo ya ajabu mno, ni bora bangi.
Mkuu, Hapo lazima mtamalizana tu, maana minyege imeshawapanda kichwani.