chapa iseme
Member
- May 31, 2025
- 70
- 105
- Thread starter
- #41
Potezea dogo,Ni mle au nimpotezee binamu yangu
acha nimpotezee ila sijui namkwepaje maana tunaish mtaa mmojaPotezea dogo,
Akidaka mimba utajuta mno
Mtoto wa kaka wa shangazi? Mbona sielewi huo udugu. Yani Wewe Una mshua wako, mshua ana dada yake si Ndio? Ambae ndo shangazi yako Sasa. Enhe huyo binti ni nani. Au shangazi ana step brother tenasio mtoto wa mjomba.. ni mtoto wa kaka wa shangazi yangu
Nimependa Kiswahili chako. ‘Kutuangukia ushauri’Huyo ni binamu wa heshima na siyo binamu wa damu.
Ungezini kwanza ndiyo ujute, sasa unajuta kabla ya kutenda!
Wote huwa tunawaza hayo maovu, lakini huishia kuguna tu na kutema mate ya uchu kisha kusonga mbele na kupotezea.
Kuna ndugu wangine wapo njema sana, sasa utaweza kila unapo wamezea mate uje humu kutuangukia ushauri?
Wengine ni mabazazi ushauri wao siyo, watakupotosha.
Huyu sio ndugu wa damu. Lakini simshauri kuanza hiyo zinaa yake. Kama anataka amuoe.Pumbavu zako, binamu ni ndugu yako wa damu maana ni mtoto wa shangazo yako. You are blood related, near blood related!
Mpotezee japo nyama ya hamuHabari wana jamiiForums...
Imekuwa miezi mingi toka nijisikie hali ya tamaa juu ya binamu yangu,, ananiita kaka yeye ni mdogo kiumri ila tayari ana mtoto na hajaolewa, naishi nae jirani na kwangu ndiko amepanga.
Sasa juzi nimejikuta namtongoza nae kakubali ila jana nimefikiria nikaona kama nimefanya kosa..
Nae sasa ndio kawaka moto kila muda anatuma sms za mahaba juu yangu.. Je, ni mle au nimpotezee iwe tu kama niliteleza?
Ushauri tafadhali ni mtoto wa kaka ya shangazi yaani mke wa mjomba
unanitisha aiseeWote mmekutana malaya...na acha tamaa
NB: UMALAYA HAUNA MWISHO MZURI ,BINAMU YAKO BADO ANAWEZA KUA NDUGU YAKO CHUKULIA MTOTO WAKO AJE AKAZWE NA BINAMU YAKE HUKO MBELE ITAKUAJE.
kumbe ni ya hamu so niichape tu?Mpotezee japo nyama ya hamu
si mtoto wa mjomba ni mtoto waa kaka ya shangaziNgono na njaa ndo vitu huwa vinashusha heshima ya MTU
Umetumia gharama kubwa kujijenga Ila unaangukia katika ngono na single mother mtoto wa mjomba wako.
Jaribu kulinda brand don't give a fucky
Ninisi mtoto wa mjomba ni mtoto waa kaka ya shangazi
kama ni wa KAGERA basi pole sana, maana mila na desturi zinagoma kula binamu yako...wa kagera
😀😀😀😀No reform no eraction