Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 6,983
- 10,372
Na hii baridi erection lazm uko wap wee mshangazi?No reform no erection
Na hii baridi erection lazm uko wap wee mshangazi?No reform no erection
Nipo Dodoma nipigieeeeeNa hii baridi erection lazm uko wap wee mshangazi?
sio mtoto wa mjomba.. ni mtoto wa kaka wa shangazi yanguUnataka kula mtoto wa mjomba wako duh
ooh kumbe'' kila mtu ana udhaifu wake mie kwa wanawake aiseee napiga kila mwezi na mpyaNilikuwa namaanisha kwa mentality hiyo tutapata tabu sana kuing'oa CCM madarakani
asante nimesha cancel ilo jamboUsijaribu.. Utajilaumu milele
hapana aisee nimestukaFuata ushauri wa mababu zetu
kwamba'binamu kinyama cha hamu'.
mmmh nishike la nan sasa nimle au niacheHakuna cha kudharauliwa na ndugu wala bibi yake mitano tena. Tafuna hiyo mbususu zingine ni baraka
Kwahy kaka wa shangaz Yako ni nani yako😅? Wee kula upate laanasio mtoto wa mjomba.. ni mtoto wa kaka wa shangazi yangu
Duh we kweli nomaooh kumbe'' kila mtu ana udhaifu wake mie kwa wanawake aiseee napiga kila mwezi na mpya
mmh aiseeeKwahy kaka wa shangaz Yako ni nani yako😅? Wee kula upate laana
ULAANIWEHabari wana jamiiForums...
Imekuwa miez mingi toka nijisikie hali ya tamaa juu ya binamu yangu,, ananiita kaka yeye ni mdogo kiumri ila tayari ana mtoto na hajaolewa ,, naish nae jiran na kwangu ndiko amepanga.
Sasa juzi nimejikuta namtongoza nae kakubali ila jana nimefikiria nikaona kama nimefanya kosa..
Nae sasa ndio kawaka moto kila muda anatuma sms za mahaba juu yangu.. Je, ni mle au nimpotezee iwe tu kama niliteleza?
Ushauri tafadhali ni mtoto wa kaka ya shangazi yaan mke wa mjomba
Huyo ni binamu wa heshima na siyo binamu wa damu.Habari wana jamiiForums...
Imekuwa miez mingi toka nijisikie hali ya tamaa juu ya binamu yangu,, ananiita kaka yeye ni mdogo kiumri ila tayari ana mtoto na hajaolewa ,, naish nae jiran na kwangu ndiko amepanga.
Sasa juzi nimejikuta namtongoza nae kakubali ila jana nimefikiria nikaona kama nimefanya kosa..
Nae sasa ndio kawaka moto kila muda anatuma sms za mahaba juu yangu.. Je, ni mle au nimpotezee iwe tu kama niliteleza?
Ushauri tafadhali ni mtoto wa kaka ya shangazi yaan mke wa mjomba
nimependa ushauri wakoHuyo ni binamu wa heshima na siyo binamu wa damu.
Ungezini kwanza ndiyo ujute, sasa unajuta kabla ya kutenda!
Wote huwa tunawaza hayo maovu, lakini huishia kuguna tu na kutema mate ya uchu kisha kusonga mbele la kupotezea.
Kuna ndugu wangine wapo njema sana, sasa utaweza kila unapo wamezea mate uje humu kutuangukia ushauri?
Wengine ni mabazazi ushauri wao siyo, watakupotosha.
ulaaniwe wewe na wanaodhulumu wastaafu viinua migongo vyaoULAANIWE