Nimfanye nini huyu mwanamke?

Nimfanye nini huyu mwanamke?

Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa

Twende kwenye mada

Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani

Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy

Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa

Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...

Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu

Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje

Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?

Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu
Hawezi kuacha tabia utakuja kujuta mbeleni. Nasema hivi mark my words, umekumbatia bomu hilo.
 
Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa

Twende kwenye mada

Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani

Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy

Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa

Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...

Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu

Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje

Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?

Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu.
Kama umeweza kukaa naye miaka 2 na ukaweza kuvumilia hizo tabia zake hasi, basi unaweza kuendelea nae. Binadamu wote tuna mapungufu mbalimbali. Angalia na mazuri yake pia. Huwenda ukiweka ulinganisho mazuri yakizidi mapungufu, basi hayo mapungufu unayapotezea.
 
Hapo ni hewa Nakuonea huruma kijana mwenzangu, utajuta
 
Tatizo mkishalewa mbususu akili haifanyi kazi ,pole baharia 😁😁😊😊😊😊😎
 
Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa

Twende kwenye mada

Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani

Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy

Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa

Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...

Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu

Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje

Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?

Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu
Piga chini, wanawake wema wamejaa kibao
 
Kujinunisha sio tatizo ni hulka za kike, kuua biashara sio shida coz kuna watu wamesomea mpk business management biashara pia hufa ila apo kwenye uongo uongo ndo shida kwa hili piga chini
 
kama ushajua mapungufu yake basi hakuna hata shida, hayo mambo ya kukosa pesa alafu akajinunusha ni kawaida kwa wanawake walio wengi ndio maana tunasema pesa sabuni ya roho, mi nakushauri endelea kuwa nae tu miaka miwili mpo pamoja ina maana kuna vitu vingi mmepitia sasa ya nini kumuacha?, alafu kingine ni kwamba sisi wanaume ndio tuna asilimia kubwa sana ya kumbadirisha mwanamke, ukishajua mapungufu ya mke wako basi we endelea nae tu
 
Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa

Twende kwenye mada

Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani

Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy

Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa

Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...

Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu

Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje

Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?

Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu
Oaàaa
 
Uzuri wake ni msafi yaani nguo ndani hazilundikwi nikivua tu imeng'a@

Pia mcheshi hata nimuuz vp ukija ww mgen utakula utavimbiwa na huto jua kama kimewaka

Pia kaz anapiga ukimpeleka shamb heka siku tatu

Kitandani sijawahi juta na sijawahi pata kwingn kama hapa ndan
Funga ndoa nae ASAP
 
Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa

Twende kwenye mada

Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani

Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy

Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa

Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...

Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu

Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje

Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?

Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu
We mfanye hivyo hivyo tu unavoona wewe
 
Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa

Twende kwenye mada

Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani

Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy

Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa

Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...

Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu

Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje

Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?

Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu
Tumesikiliza upande mmoja mlete hapa na yeye ajitetee,ndipo tutaamua

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa

Twende kwenye mada

Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani

Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy

Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa

Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...

Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu

Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje

Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?

Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu
Watu mulivyo na roho mbaya ukae na mwanamke miaka 2 ghetto halafu umuache uchukue mwingine utapata taabu sana
 
Nakushauri kama hujazaa nae piga chini .
Utakuja kunishukuri in future. Ila ukishamuoa majuto ni mjukuu
 
Wewe ndio unaeishi nae na utakaeishi nae.....
Wewe ndio unaejua kama unamuhitaji au haumuhitaji, vile vile unajua kama unaweza kumuacha au hauwezi. Pia unajua hizo tabia unaweza kumvumilia ua hauwezi....

Ushauri ni ule ule ....tafuta hela😁
Dahh tafuta hela.huu msemo unanifariji
 
Mkuu jaza mimba yeye hicho kiburi kinaishaga automatically atakunyenyekea kwa sababu anajua tayari ana mzigo wako.mi mwenyewe mke niliyenae mwanzo alikuwa na mashauzi yeye na familia yake mpaka kaka zake wakanichimba mkwara eti bila mahari ya milioni 4 siwezi muoa dada yao.Ila baada ya kumjaza nililetewa goma geto free bila kutoa hata senti 5,nimewaambia mahari nitalipa taratibu

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Uzuri wake ni msafi yaani nguo ndani hazilundikwi nikivua tu imeng'a@

Pia mcheshi hata nimuuz vp ukija ww mgen utakula utavimbiwa na huto jua kama kimewaka

Pia kaz anapiga ukimpeleka shamb heka siku tatu

Kitandani sijawahi juta na sijawahi pata kwingn kama hapa ndan
MUOE HUYO MWANAMKE
 
Back
Top Bottom