Nimfanye nini huyu mwanamke?

Nimfanye nini huyu mwanamke?

Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa

Twende kwenye mada

Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani

Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy

Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa

Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...

Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu

Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje

Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?

Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu
Pole kaka. Hakuna milima Bila ukungu means hakuna binadamu Bila matatizo/changamoto. Kitu kizuri ni kuwa akili yako inamchukulia ni mchumba na syo mke.
Kama ungekuwa unamchukulia kuwa ni mke naamini usingekuja na huu uzi kwa sababu hyo. Namaanisha ungepambana kuhakikisha unaliweka sawa hilo. Sababu ungempenda kama mke na si kama mchumba. Wife material hayuko na tabia kama hizo. Alfu kitu tunachokosea ni kuwa, tunaingia kwenye uchumba wa kuchunguzana wakati uo huo tunaingia kwenye mahusiano na mwisho wa siku tunapenda na kulisahau jukumu la kuchunguzana. Na ukisha mpenda mtu hata kama utayaona madhaifu yake,kumuacha inakuwaga ngumu Sana ndo sababu umekuja na huu uzi.lakin kama ungekuwa hujampenda usinge jiuliza mara mbili mbili hata utake mashauri kwetu. Na kama ilivyo,Aliyeko mchezoni hawezi ona makosa bali aliye nje ya mchezo. Achana nae huyo syo mke kaka.
 
Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa

Twende kwenye mada

Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani

Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy

Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa

Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...

Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu

Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje

Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?

Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu

Mwanamke Muongo ni hatari zaidi ya mchawi huyo ni wa kumkimbia mapema kabisa!
 
Sasa mkuu ukae na mtu miaka 2 halafu umuache hujiulizi unamuachia nani? Yaani mleeee weeee mtuletew makombo mtaani. Kuwa siriaz kaka miaka 2 ni mingi sana bro
 
Mpige ban ya maaisha kama jina lako lilivyo tudada twa hivyo ni kiwanda cha stress uyo ukioa tu sahau kupewa khuma yani utapiga punyeto na k ipo pemben yako inapumua nlishaishigi na kimoja ka iko ilikua tukipishana lugha kdogo tu au kutofanya anachotaka ntanuniwa mwez mzima k naishia kuina kwenye bomba Nakwambiaje mpige Bann ya maisha
 
Mpige ban ya maaisha kama jina lako lilivyo tudada twa hivyo ni kiwanda cha stress uyo ukioa tu sahau kupewa khuma yani utapiga punyeto na k ipo pemben yako inapumua nlishaishigi na kimoja ka iko ilikua tukipishana lugha kdogo tu au kutofanya anachotaka ntanuniwa mwez mzima k naishia kuina kwenye bomba Nakwambiaje mpige Bann ya maisha
 
Acha upuzzi kimbia hapo haraka sana, hakupendi ila anakutegemea kiuchumi... ndioo maana ukifulia anajinunisha...

na biashara sio kwamba imefilisika aliona una ifutalia sana akaona bora aiue ili hizo fedha aje kuanzisha kitu chake wae na uhuru nacho, au la hizo fedha kuna kijeba ana kula nae..

Narudia Tena huyo hakupendi una mbanabana anashindwa kuwa huru na mtu ammpendae nasiku ukigundua utakosa amani wewe maana umewekeza mahali pabaya!
 
Acha upuzzi kimbia hapo haraka sana, hakupendi ila anakutegemea kiuchumi... ndioo maana ukifulia anajinunisha...

na biashara sio kwamba imefilisika aliona una ifutalia sana akaona bora aiue ili hizo fedha aje kuanzisha kitu chake wae na uhuru nacho, au la hizo fedha kuna kijeba ana kula nae..

Narudia Tena huyo hakupendi una mbanabana anashindwa kuwa huru na mtu ammpendae nasiku ukigundua utakosa amani wewe maana umewekeza mahali pabaya!
Umeifanya ni tafakari kwa kina shukurani mkuu

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
hizo ndizo dalili za mapema zinazoashiria kwamba hamuwezi kuoana, Sasa jifanye kizibo utajua hujui.
 
Umesema ni muongo na alikuwa mtaji??? Mkuu hilo la kula mtaji halipaswi kufumbiwa macho kama hakukua na sababu za msingi
all in all tafuta pesa mkuu
 
Wewe ndio unaeishi nae na utakaeishi nae.....
Wewe ndio unaejua kama unamuhitaji au haumuhitaji, vile vile unajua kama unaweza kumuacha au hauwezi. Pia unajua hizo tabia unaweza kumvumilia ua hauwezi....

Ushauri ni ule ule ....tafuta hela


Atafute hela
 
Uzuri wake ni msafi yaani nguo ndani hazilundikwi nikivua tu imeng'a@

Pia mcheshi hata nimuuz vp ukija ww mgen utakula utavimbiwa na huto jua kama kimewaka

Pia kaz anapiga ukimpeleka shamb heka siku tatu

Kitandani sijawahi juta na sijawahi pata kwingn kama hapa ndan
Sasa c uoe hiyo manzi...wanaume tunaogopa kumegewa

Oa huyo man mwenzangu
 
Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa

Twende kwenye mada

Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani

Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy

Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa

Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...

Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu

Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje

Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?

Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu
we unataka mwananke wa aina gani?, ukisema umuoe a hupendi uongo io imekula kwako, kama unataka mwanamke wa kutengeneza pesa pia ukufai, kama unataka mwanamke wa kukusikiliza unavyotaka pia akufai. mi nnachoona unampenda na unafata mazuri mengine aliyonayo. kama na uwezo wa kumvumilia achana nae
 
Back
Top Bottom