Nimfanye nini huyu mwanamke?

Nimfanye nini huyu mwanamke?

Then kasome tena nilichokushauri. Huyo binti unampa majukumu ambayo yeye anaona hayamuhusu. Amejiandaa kuwa mke wa mtu sio mpambanaji mwenzako wa maisha.
Sawa mkuu ila lengo lilikuwa jema tu ila nimekuelewa
 
Huwa uongo unachukulika kiurahisi sana lakini tambua uongo hubeba dhana kubwa sana ktk mahusiano. Mwisho wa siku hutokaa umuamini kwa lolote.

Ikiwa hamjahalalisha mahusiano yenu na mtu anaanza kukuletea vitimbi kama kukununia na ukimuuliza ni uongo uongo. Tambua hilo ni bomu.

Kulitegua ni maamuzi yako ila utakuja kutoa ishuhuda baadae mkisha halalosha hayo mahusiano. Utaendelea kudanganywa hadi ulie mma!
 
Hata wanawake walioolewa asilimia 99 wako kama wako Kujinunisha kisa huna hela ni nature ya mwanamke ila shida kunyimwa utamuu mkuu bhasi mwambie hata awe anakususia alale kama gogo

Mtaji ukimpa alifilisika sababu hajui kufanya biashara wengi huanguka na kuanza upyaa yani unajifunza huku unafanya labda kama unajua hela alitumia kwa mambo ya ovyooo..
 
Hebu tutajie vitu vitatu vizuri alivyo navyo mwenza wako hadi ukaakaa naye miaka miwili na kuikiria kuwa mkeo? Vitatu tuanzie hapo kwanza
Nazan nimetaja Mkuu kuwa mcheshi mchapakazi nk
 
Then kasome tena nilichokushauri. Huyo binti unampa majukumu ambayo yeye anaona hayamuhusu. Amejiandaa kuwa mke wa mtu sio mpambanaji mwenzako wa maisha.
Huu ndio ukweli Mchungu ambao wanaume inabidi Tuumeze...!! UNAUMA ILA NDIO HIVYO.
 
Hata wanawake walioolewa asilimia 99 wako kama wako Kujinunisha kisa huna hela ni nature ya mwanamke ila shida kunywa utamuu mkuu

Mtaji ukimpa alifilisika sababu hajui kufanya biashara wengi huanguka na kuanza upyaa yani unajifunza huku unafanya labda kama unajua hela alitumia kwa mambo ya ovyooo..
Mkuu nashukuru kwa comment yako na kwa ushauri wako

Mungu azidi kuwapa afya njema wana jf wote
 
mkuu nashukuru kwa comment yako na kwa ushauri wako

Mungu azidi kuwapa afya njema wana jf wote
Pamoja mkuu wanawakw ndivyo walivyo huwezi pata wakukuchekea ukifulia...!! Ninaeishi nae amejitahidi japo nae huwa anashindwa yani visa kama hela hakuna utafurahi mbona.. Ngoja hela ijee nyie nyiee mapenzi yake.
 
Huyo ni mkeo mkuu, ukishaishi na mtu kwa miez sita na kidogo under one roof huyo ni wako, hingera sana mkuu
 
Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa

Twende kwenye mada

Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani

Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy

Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa

Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...

Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu

Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje

Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?

Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu

Wahuni watasema umeichoka hiyo mbususu kwa hivyo unaitafutia sababu ya kubwaga manyanga
 
Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa

Twende kwenye mada

Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani

Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa

Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy

Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa

Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...

Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu

Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje

Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?

Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu
Pole kaka, huyo mtashindwana mtu anayejinunisha hovyo sio wa kufaaa.

Pia kama anakosea na hataki kurekebishwa na hapo unasema uko kwenye uchumba je akishaolewa nakupata assurance ya kuwa ni mke sindo atakudekisha kabisa.

Let her go before u get into much trouble
 
Kaka wanaosema uoe huyo dada wapuuuzie

Mosi, uchumba ndio kipindi Cha kuact Ili uweze faa kuingia ndoani sasa kama yeye kwenye uchumba ushaona hivyo kwenye ndoa je.

Pili, huyo hakawii kununia ndugu zako ,nitashindwa kukutembelea ukiwa namke wa namna hiyo Mana sitojua kakununia wewe au uwepo wangu pale.

Tatu, akili za kuambiwa changanya na zako, labda anaonesha hizo red flags na kuwa real Ili ujueee ni mtu wa namna gani, Ili ujipime kama unawezana nae au huwezan nae muachane SO AKILI KUMKICHWA
 
Tafuta pesa wewe hadi ifikie kiwango ukimsaidia mtu uache kumfuatilia na kumsimanga namna alivyotumia pesa uliyompa...
 
Hapo getto kwako anjitoletea kama yupo intership so usimnyanyase
 
Nimesoma coment zote n kugundua wengi walikushauli hawajaoa na kama wameoa bas wamekushauli shaghala bagala tu.

Sote tunajua kama mwanamke tabia zao huzidi akiwa tayri anauwakika yani ashaolewa(ziwe mbaya au nziri).

Kwa kifupi tu huyo mwanamke hafai tena hafai kabsa lkn kama unataka kuwa na tabia za waume wa siku izi yani umeoa, na ndoa ndani inawaka moto wew unaenda kujipooza bar na wanawake wengine nje basi oa uyo mwanamke.
ni hayo tu
 
Pole sana... Nenda nae mdogo mdogo mpaka atazoea utakavyo wewe...

Ila ngoja waje kukupa muongozo...
 
Kama ni pasua kichwa achana nae, hupaswi kuwa na mtu anaesumbua akili yako na hakupi pumziko unapoyumba...so angalia kama ni vitu vinavumilika bila kukuathiri sana
 
Back
Top Bottom