mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,922
- 3,563
The guy's accepted my advice, no dought that he is going to hit them.besti adivaisi ever..
Let's wait for a feedback.
The guy's accepted my advice, no dought that he is going to hit them.besti adivaisi ever..
sasa hapo tatizo lipo wapi,! acha uchoyo ndugu



iseeee sio uchoyo hao mashoga wa mkewe ndio mabahili ndio maana kila siku wanategemea wapikiwe mmmmh tena ningekua Mimi hata maji siwapi mbuzi haoSusan mkorofi sana...natamani tuonane siku....wanasema mke wa mtu ni sumu huenda kuna mipanya nyumbani kwao kwa hiyo anendaga kuwaua
u can ni ww tu na mm sio mkolofi kwan nimefanyann?Susan mkorofi sana...natamani tuonane siku....
Madame, Long time no see...!I smell a man somewhere.....
And We sure love to cook for our men....
.....
Gari yako au gari yenu?Ni kweli mkuu! Na ana wivu mkali kuliko maelezo.
Hao wadada ni marafiki zake wazuri lakini huwa harusu hata mmoja apande gari yangu, asipokuwepo!!
Wakuu nina ndoa ya kama Mwaka mmoja hivi!
Wife tulioana kila mtu akiwa na maisha yake, I mean alikuwa anajitegemea na mimi najitegemea!
Tukaamua kuanzisha makazi mapya, tuachane na yale ya zamani, hii sehemu aliunganishiwa na marafiki zake wa karibu kwa sababu na wao wanaishi hapo, ni nyumba nzuri tulivyoamia mambo yalikuwa poa sana, bahati nzuri wote ni watumishi na tunakisehemu cha kufanya ujasiriamali.
Hao marafiki zake wawili ni watumishi pia, na mara nyingi mke wangu ndio huwa wakwanza kuwahi kurudi nyumbani kabla yao!
Ishu inakuja hapa, kwa takribani kama miezi 3 hivi naona wife ndio amegeuka kama mpishi wao! Kila akipika ni lazima wawe na share kwenye msosi wake, kwa wanawake wanaojitegemea kabisa! Na kila mtu ana nyumbani kwake.
Nilijiuliza wife huwa anapata msaada gani kwa hao wadada hadi awapikie kila siku nikakosa jibu.
Wao kupika ni week end tu! Na hawawezi kuleta msosi kwetu kama wife anavyowapelekea, she use her own money to buy all staffs bahati nzuri she never ask any money for food, due to some agreement, pesa yangu ikuze mtaji na kuendeleza ujenzi na yake ishughulike na mambo ya ndani yote ikiwemo mavazi na chakula Ishu inakuja hapo kwenye hizo affairs nyingine, natamani kumpiga stop! binafsi naona kama hili swala halijakaa vyema wakuu, Tushauriane!!
Chances are Ana mtu mwingine ambae hupelekewa chakula kwa camouflage ya rafiki/boyfriend wa shost.kama una busara sanaaaaa chunguza polepole utajua ila kama huna busara kihivyo hakikisha “unawafyekeleaaa mbaliii” hao rafiki wa mkeo kitandani na mfanye a suspect.tatzo litajisolveWakuu nina ndoa ya kama Mwaka mmoja hivi!
Wife tulioana kila mtu akiwa na maisha yake, I mean alikuwa anajitegemea na mimi najitegemea!
Tukaamua kuanzisha makazi mapya, tuachane na yale ya zamani, hii sehemu aliunganishiwa na marafiki zake wa karibu kwa sababu na wao wanaishi hapo, ni nyumba nzuri tulivyoamia mambo yalikuwa poa sana, bahati nzuri wote ni watumishi na tunakisehemu cha kufanya ujasiriamali.
Hao marafiki zake wawili ni watumishi pia, na mara nyingi mke wangu ndio huwa wakwanza kuwahi kurudi nyumbani kabla yao!
Ishu inakuja hapa, kwa takribani kama miezi 3 hivi naona wife ndio amegeuka kama mpishi wao! Kila akipika ni lazima wawe na share kwenye msosi wake, kwa wanawake wanaojitegemea kabisa! Na kila mtu ana nyumbani kwake.
Nilijiuliza wife huwa anapata msaada gani kwa hao wadada hadi awapikie kila siku nikakosa jibu.
Wao kupika ni week end tu! Na hawawezi kuleta msosi kwetu kama wife anavyowapelekea, she use her own money to buy all staffs bahati nzuri she never ask any money for food, due to some agreement, pesa yangu ikuze mtaji na kuendeleza ujenzi na yake ishughulike na mambo ya ndani yote ikiwemo mavazi na chakula Ishu inakuja hapo kwenye hizo affairs nyingine, natamani kumpiga stop! binafsi naona kama hili swala halijakaa vyema wakuu, Tushauriane!!
Madame, Long time no see...!
Good Evening...!
Wewe kama Mume unatakiwa uikemee hiyo tabia na umpige Marufuku kwa sauti ambayo hatoipinga wala kuhoji.Wakuu nina ndoa ya kama Mwaka mmoja hivi!
Wife tulioana kila mtu akiwa na maisha yake, I mean alikuwa anajitegemea na mimi najitegemea!
Tukaamua kuanzisha makazi mapya, tuachane na yale ya zamani, hii sehemu aliunganishiwa na marafiki zake wa karibu kwa sababu na wao wanaishi hapo, ni nyumba nzuri tulivyoamia mambo yalikuwa poa sana, bahati nzuri wote ni watumishi na tunakisehemu cha kufanya ujasiriamali.
Hao marafiki zake wawili ni watumishi pia, na mara nyingi mke wangu ndio huwa wakwanza kuwahi kurudi nyumbani kabla yao!
Ishu inakuja hapa, kwa takribani kama miezi 3 hivi naona wife ndio amegeuka kama mpishi wao! Kila akipika ni lazima wawe na share kwenye msosi wake, kwa wanawake wanaojitegemea kabisa! Na kila mtu ana nyumbani kwake.
Nilijiuliza wife huwa anapata msaada gani kwa hao wadada hadi awapikie kila siku nikakosa jibu.
Wao kupika ni week end tu! Na hawawezi kuleta msosi kwetu kama wife anavyowapelekea, she use her own money to buy all staffs bahati nzuri she never ask any money for food, due to some agreement, pesa yangu ikuze mtaji na kuendeleza ujenzi na yake ishughulike na mambo ya ndani yote ikiwemo mavazi na chakula Ishu inakuja hapo kwenye hizo affairs nyingine, natamani kumpiga stop! binafsi naona kama hili swala halijakaa vyema wakuu, Tushauriane!!
Ha ha ha,"Wife tulioana" damn it.
Mpaka hapo tatizo tayari.
Kiswahili wewe mwanamme unaoa, mwanamke anaolewa. Hamuoani.
Ukishaanza kwa habari za "tulioana" hayo matatizo mengine hata sishangai.
Na wote awe anagawa zamu za kuwagegedaPiga mahesabu kuwa una wake watatu, chakufanya hapo ni kuwagegeda tu hamna namna nyingine.
Hahahaha dah nyie mna mambo jmnKama hutoi hela yako mwache aendelee na utaratibu usije kuhoji ukakuta hao wadada ndio wanakulisha ww



Mkihama na wao wanahamia jirani yenu hapo unaonaje mkuuuMkuu,,, solution ni kuhama hapo kwenda mbali nao hao, watakuharibia ndoa,,
Duh! amle kichuri!
Hivi kichuri si ndio ma.vi au mimi ndio sielewi?






