Nimfanyaje mke wangu! Kwa tabia hii?

Nimfanyaje mke wangu! Kwa tabia hii?

Wakuu nina ndoa ya kama Mwaka mmoja hivi!
Wife tulioana kila mtu akiwa na maisha yake, I mean alikuwa anajitegemea na mimi najitegemea!

Tukaamua kuanzisha makazi mapya, tuachane na yale ya zamani, hii sehemu aliunganishiwa na marafiki zake wa karibu kwa sababu na wao wanaishi hapo, ni nyumba nzuri tulivyoamia mambo yalikuwa poa sana, bahati nzuri wote ni watumishi na tunakisehemu cha kufanya ujasiriamali.

Hao marafiki zake wawili ni watumishi pia, na mara nyingi mke wangu ndio huwa wakwanza kuwahi kurudi nyumbani kabla yao!
Ishu inakuja hapa, kwa takribani kama miezi 3 hivi naona wife ndio amegeuka kama mpishi wao! Kila akipika ni lazima wawe na share kwenye msosi wake, kwa wanawake wanaojitegemea kabisa! Na kila mtu ana nyumbani kwake.

Nilijiuliza wife huwa anapata msaada gani kwa hao wadada hadi awapikie kila siku nikakosa jibu.

Wao kupika ni week end tu! Na hawawezi kuleta msosi kwetu kama wife anavyowapelekea, she use her own money to buy all staffs bahati nzuri she never ask any money for food, due to some agreement, pesa yangu ikuze mtaji na kuendeleza ujenzi na yake ishughulike na mambo ya ndani yote ikiwemo mavazi na chakula Ishu inakuja hapo kwenye hizo affairs nyingine, natamani kumpiga stop! binafsi naona kama hili swala halijakaa vyema wakuu, Tushauriane!!
Wanaume wa dar huwa mnaset contractual terms na wake zenu za kuhudumia familia ?
 
Write your reply...
hakuna shida, ila ukiweza wagegede na hao mashosti zake..
 
Wakuu nina ndoa ya kama Mwaka mmoja hivi!
Wife tulioana kila mtu akiwa na maisha yake, I mean alikuwa anajitegemea na mimi najitegemea!

Tukaamua kuanzisha makazi mapya, tuachane na yale ya zamani, hii sehemu aliunganishiwa na marafiki zake wa karibu kwa sababu na wao wanaishi hapo, ni nyumba nzuri tulivyoamia mambo yalikuwa poa sana, bahati nzuri wote ni watumishi na tunakisehemu cha kufanya ujasiriamali.

Hao marafiki zake wawili ni watumishi pia, na mara nyingi mke wangu ndio huwa wakwanza kuwahi kurudi nyumbani kabla yao!
Ishu inakuja hapa, kwa takribani kama miezi 3 hivi naona wife ndio amegeuka kama mpishi wao! Kila akipika ni lazima wawe na share kwenye msosi wake, kwa wanawake wanaojitegemea kabisa! Na kila mtu ana nyumbani kwake.

Nilijiuliza wife huwa anapata msaada gani kwa hao wadada hadi awapikie kila siku nikakosa jibu.

Wao kupika ni week end tu! Na hawawezi kuleta msosi kwetu kama wife anavyowapelekea, she use her own money to buy all staffs bahati nzuri she never ask any money for food, due to some agreement, pesa yangu ikuze mtaji na kuendeleza ujenzi na yake ishughulike na mambo ya ndani yote ikiwemo mavazi na chakula Ishu inakuja hapo kwenye hizo affairs nyingine, natamani kumpiga stop! binafsi naona kama hili swala halijakaa vyema wakuu, Tushauriane!!

Kuwa muwazi kwake umweleze badala ya kuanza kuzungusha maneno kwenye mitandao ya jamii, eventually utakuja kuonekana mwanamme mmbeya, ambayo ni tabia mbaya almost kuzidi tabia karibia zote.

Just imagine akibahatika kuona thread hii, lazima tu atajua kuwa uliyeandika ni wewe. Kaa naye chini umweleze. Kitu kikubwa ambacho inabidi nikupongeze ni kuwa mkeo anaonekana ana roho nzuri sana pia, kwani ni watu wachache sana wanaoweza kufanya hayo, hata kama hela anazotumia kwa kuwapikia chakula ni za kwao wanampa. Mkeo ana roho nzuri sana, tambua hilo pia!
 
Mtanie mkeo kuwa una wake 3, ila usimuulize gharama za msosi pengine huwa wanampa. Huwezi jua makubaliano yao. We mwambie hivyo tu kuwa una wake 3......tena uwe unasisitiza mara kwa mara. Akienda unamwambie msalimie mke mdogo! Halafu wasifie sifie hao mashost zake kiutani utani. Akimaliza miezi 3 bado anawapikia lete mrejesho hapa
 
Ulichokosea ni kumruhusu atumie pesa yake ya mshahara kwa matumizi ya chakula na mavazi ndio sababu unakosa nguvu ya kuhoji. Mlitakiwa kuchanganya mishahara yenu kila mwisho wa mwezi na wewe kutoa pesa ya matumizi kulingana na mahitaji yenu kwa mwezi then kiasi kinachobaki kielekezwe kwenye mambo mengine ya maendeleo, kwa kufanya hivyo hatoweza kufanya huo upuuzi na ikitokea amefanya unakuwa na nguvu ya kuhoji. Kitu kingine Mzee baba unaonekana ni mpole kupitiliza huyo ni mkeo yupo chini yako kuwa huru kuhoji chochote.
 
Piga stop,wanawake ni watu wanaohitaji msaada wa mawazo ya wanaume sana hasa inapokuwa kwenye mahusiano,wewe ni mtawala chukua nafasi yako na usipokuwa makini kuna kitu kibaya kinakuja mbele yako,ikiwa ni pamoja na nyumba kutokutawalika kwani ni wepesi sana kubeba ushauri wa jinsi ya kuishi kwenye nyumba kutoka kwa marafiki,trust me...
Yah...upo sahihi kabisa.
 
Mkuu kaa chini ongea nae kwa utulivu kabisa,huku ukimaanisha,pengine wamemlea sana muulize sababu ya yeye kufanya hayo. By the way hakuna mwanzo uso na mwisho, unaweza vumilia pia.
 
Mi nadhani ufanye hivi huyo mkewako huyo Kuna njemba linapikiwa huko kwa kivuli cha mashostito.
Shtuka washaanza kubangua Korosho
 
Back
Top Bottom