Nimfanyaje mke wangu! Kwa tabia hii?

Nimfanyaje mke wangu! Kwa tabia hii?

Piga pxmbv hao mashosti wenzake ili wakosane kabisaaaaa... Hiyo ndio dawa
 
You must be a real man and walk with it mbona easy issue aisee ni lazma uwe mwenye maamuz kwa familia yako as a man
 
Hahahahahaha Mwanaume unatakiwa kujiongeza kitu kidogo kama hiki unashindwa kukitafutia ufumbuzi je mambo mengine makubwa makubwa itakuwaje?
 
Anawatumia just for cover up as she feeds the man who holds her heart.
Kwa mazingira tunayoishi that is not possible!!
Labda kama hiko chakula kinaenda kwa huyo mwanaume kwa njia ya Bluetooth ama internet.
Physical not possible, nimefanya uchunguzi wa kina.
 
Mtanie mkeo kuwa una wake 3, ila usimuulize gharama za msosi pengine huwa wanampa. Huwezi jua makubaliano yao. We mwambie hivyo tu kuwa una wake 3......tena uwe unasisitiza mara kwa mara. Akienda unamwambie msalimie mke mdogo! Halafu wasifie sifie hao mashost zake kiutani utani. Akimaliza miezi 3 bado anawapikia lete mrejesho hapa
ASIPOSIKIA HAPA AMEKWISHA!!!
 
Wakuu nina ndoa ya kama Mwaka mmoja hivi!
Wife tulioana kila mtu akiwa na maisha yake, I mean alikuwa anajitegemea na mimi najitegemea!

Tukaamua kuanzisha makazi mapya, tuachane na yale ya zamani, hii sehemu aliunganishiwa na marafiki zake wa karibu kwa sababu na wao wanaishi hapo, ni nyumba nzuri tulivyoamia mambo yalikuwa poa sana, bahati nzuri wote ni watumishi na tunakisehemu cha kufanya ujasiriamali.

Hao marafiki zake wawili ni watumishi pia, na mara nyingi mke wangu ndio huwa wakwanza kuwahi kurudi nyumbani kabla yao!
Ishu inakuja hapa, kwa takribani kama miezi 3 hivi naona wife ndio amegeuka kama mpishi wao! Kila akipika ni lazima wawe na share kwenye msosi wake, kwa wanawake wanaojitegemea kabisa! Na kila mtu ana nyumbani kwake.

Nilijiuliza wife huwa anapata msaada gani kwa hao wadada hadi awapikie kila siku nikakosa jibu.

Wao kupika ni week end tu! Na hawawezi kuleta msosi kwetu kama wife anavyowapelekea, she use her own money to buy all staffs bahati nzuri she never ask any money for food, due to some agreement, pesa yangu ikuze mtaji na kuendeleza ujenzi na yake ishughulike na mambo ya ndani yote ikiwemo mavazi na chakula Ishu inakuja hapo kwenye hizo affairs nyingine, natamani kumpiga stop! binafsi naona kama hili swala halijakaa vyema wakuu, Tushauriane!!
Kuna kidume huwa kinapelekewa huo msosi so jipange mko share na kidume
 
Back
Top Bottom