Nimezama kwenye mapenzi na single mother

Nimezama kwenye mapenzi na single mother

Ni Jambo la kawaida watu waoga kukimbilia mipira iliyokufa.

Wanaume waoga, waasiojiamini, wasio na pesa, ni nadra Sana kutoka na Mwanamke aliyekwenye prime yake.
Hata usipoonyesha hivyo ndivyo inavyotafsirika.
 
Ni Jambo la kawaida watu waoga kukimbilia mipira iliyokufa.

Wanaume waoga, waasiojiamini, wasio na pesa, ni nadra Sana kutoka na Mwanamke aliyekwenye prime yake.
Hata usipoonyesha hivyo ndivyo inavyotafsirika.
Vijana bado hamjayajua maisha , sasa usipokua na pesa hao watoto wa single maza utawalea vipi
 
Vijana bado hamjayajua maisha , sasa usipokua na pesa hao watoto wa single maza utawalea vipi

Kwani hawana baba yao? Hilo swali waulize waoaje wa single mother.
Maana wao wakiona misambwanda na kunona kwa single mother akili Yao inaishia hapo.

Unapozungumzia Single mother unazungumzia mzigo mara mbili. Kujiunga na familia iliyoanza
 
Ukiingia kwenye relationship na mindset ya kuthibitisha kitu, utaishia kuharibu kila kitu , including huyo single mom.

She’s not your experiment, ana maisha yake, ana mtoto, ana expectations zake.

So ,jenga confidence yako kwanza, elewa unataka nini, halafu chagua mwanamke kwa akili, sio kwa panic ya kukosa experience.
 
Wadau natumai mko poa kabisa na wale wagonjwa wote Mungu awape uponyaji. Kufupisha habari mimi ni kijana ambaye nipo kwenye 3rd floor agewise kipindi bado nasoma sikuwa mtu wa mademu sana mara nyingi watu waliniita baba paroko au kwa sasa church boy. Najuta kwanini nimejitunza miaka yote 10 halafu anatokea single mom anauteka moyo wangu kiurahisi hivi kwahiyo nitaishi hivi bila kuchakata bikra? Kingine huyu single mother anaonesha kujali japo ashaanza kuona mapungufu yangu ya kijamii kama kutokujiamini kwangu na kuwaogopa maboss zangu kazini karibuni kwa ushauri wenu
Unayo NIDA?
 
Baba mtakatifu unaenda kuwa baba wa kambo 😹😹

Huyo single maza atakupasua kichwa inatakiwa aolewe na single daddy..!!

Mambo ya kuanza mechi mwingine kashatangulia na goli BIG NO 😹🤣
 
Baba mtakatifu unaenda kuwa baba wa kambo 😹😹

Huyo single maza atakupasua kichwa inatakiwa aolewe na single daddy..!!

Mambo ya kuanza mechi mwingine kashatangulia na goli BIG NO 😹🤣
Aggregates ya 1-0
 
Wadau natumai mko poa kabisa na wale wagonjwa wote Mungu awape uponyaji. Kufupisha habari mimi ni kijana ambaye nipo kwenye 3rd floor agewise kipindi bado nasoma sikuwa mtu wa mademu sana mara nyingi watu waliniita baba paroko au kwa sasa church boy. Najuta kwanini nimejitunza miaka yote 10 halafu anatokea single mom anauteka moyo wangu kiurahisi hivi kwahiyo nitaishi hivi bila kuchakata bikra? Kingine huyu single mother anaonesha kujali japo ashaanza kuona mapungufu yangu ya kijamii kama kutokujiamini kwangu na kuwaogopa maboss zangu kazini karibuni kwa ushauri wenu
Kwanza ukiingia kwenye penzi na mtu hutangazi,ni siri yako,ni raha yako,ni utamu wako,kula raha,mengine yaje utayasolve
 
Back
Top Bottom