Nimezama kwenye mapenzi na single mother

Nimezama kwenye mapenzi na single mother

Wadau natumai mko poa kabisa na wale wagonjwa wote Mungu awape uponyaji. Kufupisha habari mimi ni kijana ambaye nipo kwenye 3rd floor agewise kipindi bado nasoma sikuwa mtu wa mademu sana mara nyingi watu waliniita baba paroko au kwa sasa church boy. Najuta kwanini nimejitunza miaka yote 10 halafu anatokea single mom anauteka moyo wangu kiurahisi hivi kwahiyo nitaishi hivi bila kuchakata bikra? Kingine huyu single mother anaonesha kujali japo ashaanza kuona mapungufu yangu ya kijamii kama kutokujiamini kwangu na kuwaogopa maboss zangu kazini karibuni kwa ushauri wenu
"Umejitunza kwa miaka kumi........" khaaa huyu nae mtoto wa kiume, Jando kweli ni muhimu.
 
Wadau natumai mko poa kabisa na wale wagonjwa wote Mungu awape uponyaji. Kufupisha habari mimi ni kijana ambaye nipo kwenye 3rd floor agewise kipindi bado nasoma sikuwa mtu wa mademu sana mara nyingi watu waliniita baba paroko au kwa sasa church boy. Najuta kwanini nimejitunza miaka yote 10 halafu anatokea single mom anauteka moyo wangu kiurahisi hivi kwahiyo nitaishi hivi bila kuchakata bikra? Kingine huyu single mother anaonesha kujali japo ashaanza kuona mapungufu yangu ya kijamii kama kutokujiamini kwangu na kuwaogopa maboss zangu kazini karibuni kwa ushauri wenu
Kwa maelezo yako. Wewe ni kweli ni mtu wa kutojiamini. Na huna msimamo juu ya machaguzi yako au maamuzi yako.

Ona umejitunza mda mrefu kama ulivyosema, lakini sasa umezama kwenye penzi la single mother lakini bado kama vile unajiuliza uliza au unajutia, yani kifupi hujielewi. Hujui kama umeamua kweli au Lah
 
Kwa maelezo yako. Wewe ni kweli ni mtu wa kutojiamini. Na huna msimamo juu ya machaguzi yako au maamuzi yako.

Ona umejitunza mda mrefu kama ulivyosema, lakini sasa umezama kwenye penzi la single mother lakini bado kama vile unajiuliza uliza au unajutia, yani kifupi hujielewi. Hujui kama umeamua kweli au Lah
Chatgpt
 
Ktk maisha kama kijana uliyopo 20s au 30s avoid single mothers .

Single mothers sio wanawake hata wa kutembea nao achilia mbali kumuoa hao watu ni mipira iliyokufa kama haujui kuipiga itakusumbua sana .


Waachie watu wenye miaka 50 au wagane as a young guy don't date single mama

This is unspoken rule haijaandikwa popote ila testimony 99% zinaonesha hao watu wanaharibu maisha ya vijana na kuleta chaos
 
Ktk maisha kama kijana uliyopo 20s au 30s avoid single mothers .

Single mothers sio wanawake hata wa kutembea nao achilia mbali kumuoa hao watu ni mipira iliyokufa kama haujui kuipiga itakusumbua sana .


Waachie watu wenye miaka 50 au wagane as a young guy don't date single mama

This is unspoken rule haijaandikwa popote ila testimony 99% zinaonesha hao watu wanaharibu maisha ya vijana na kuleta chaos
Asante kwa miongozo na ufuatiliaji wako kwangu
 
Ktk maisha kama kijana uliyopo 20s au 30s avoid single mothers .

Single mothers sio wanawake hata wa kutembea nao achilia mbali kumuoa hao watu ni mipira iliyokufa kama haujui kuipiga itakusumbua sana .


Waachie watu wenye miaka 50 au wagane as a young guy don't date single mama

This is unspoken rule haijaandikwa popote ila testimony 99% zinaonesha hao watu wanaharibu maisha
Unazungumzia mahusiano ya aina gani?
kuwa specific
Hayanaga miongozo...


Cc: Mahondaw
Nataka nimtag Mahondaw
 
Usisikilize miongozo ya kipumbavu mkuu, kula isha kijana siku zenyewe fupi hizi!
 
Back
Top Bottom