Nimeyapata Yale matunda yanatenegenezwa pombe ya Amarula!

Nimeyapata Yale matunda yanatenegenezwa pombe ya Amarula!

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
11,250
Reaction score
24,081
Hii ni baada ya mh CHASHA FARMING kunitoa usingizi na ndipo nilipo kumbuka kwenye miaka ya 2004 tuliikata sana Ile miti lakini Bado nikakumbuka Kuna poli kama heka2-3 tulibakiza Kwa ajiri ya miti ya matumizi pamoja na dawa.

Jtatu asubhi sana nikaenda huko Kwa lengo Hilo Hilo kuangalia hiyo miti na nikweli nimeikuta Tena ikiwa na matunda ya kutosha.

Japo sijazagaa sana lengo lilikuwa kujihakikishia kama Bado ipo. miti kama 6 niliyoona na hakika ilikuwa na matunda ya kutosha kabisa.

Hivyo Ndg CHASHA FARMING Niko tiyari kukutumia Bure popote pale ulipo uuze then unipe feedback yanahitajika kiasi Gani na nipewe na elimu ya kuyazalisha Kwa wingi(kupanda)

Ni hayo tu

Picha hizi hapa nilizipiga saa12 asubhi kuliwa na manyunyu ya mvua

Huku wanaitwa Magogondi.
IMG_20250505_065028_942.jpg
IMG_20250505_064913_507.jpg
 

Attachments

  • IMG_20250505_064822_410.jpg
    IMG_20250505_064822_410.jpg
    375.3 KB · Views: 21
  • Screenshot_20250507-162719_1.jpg
    Screenshot_20250507-162719_1.jpg
    298.5 KB · Views: 21
Sclerocarya birrea a k a embe ng’ong’o a k a marula
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom