Akili 7
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 731
- 1,416
Kuna kipindi akili huwa zinamrudia kwa muda.Hivi thread hii ni ya John Mbatizaji kweli? Mimi siamini imekuwaje ameuona ukweli huo?
Kuna kipindi akili huwa zinamrudia kwa muda.Hivi thread hii ni ya John Mbatizaji kweli? Mimi siamini imekuwaje ameuona ukweli huo?
Hakuna mahali nimesema namwamini Magufuli. Hakuwa chaguo la ccm bali kwakuwa Upinzani ulikuwa imara basi wakaona wampitishe yeye.Kwani nyie ndio mlimpitisha unataka kusema unamwamini magufuli sasa kwa nini mnalia lia kila siku
Hapa tunajadili jinai unaleta siasa unajiona ulivyokiazi mbatataNyie ndio leo Mrisho Gambo amewapa za uso kwamba mkizeeka mtakuwa wachawi.
Lijualikali alikuwa wapi siku hsdi aelemewe na mkopo ndio aombe hisani CCM.
Huyu Lijualikali amekiri hadharani kwamba aliiba kura za Aboubakar Assenga wa CCM na Lowassa akaiba pia za urais.... Ndio nyie UVCCM mnamfagilia?!
Gambo yuko sahihi UVCCM hampendani mmejaa unafiki mtupu!
Hakuna mahali nimesema namwamini Magufuli. Hakuwa chaguo la ccm bali kwakuwa Upinzani ulikuwa imara basi wakaona wampitishe yeye.
Suala lingine anaonekana wazi kutaka kung'ang'ania madaraka na kuna wapiga debe wake akiwepo Ndugai. Sasa nikuulize Watangulizi wake wangekuwa na tamaa kama yeye angekuwa Rais hivi sasa??
Hata kwa wanaccm wengi Magufuli hakubaliki ila watu inabidi wawe wanafiki na waoga kwa kuhofia maslahi na maisha yao kupitia lile kundi la watu wasiojulikana.
Kama anakubalika kwanini aogope ushindani?? Naomba usininukuu vibaya kuwa namkubali Magufuli na kamwe siko tayari kufanya hivyo.
Wabunge wenzie wamesema hayo hapo, je bado waumuunga mkono yule mvuta bangi, au mpo pamoja?Mabadiliko ya fedha ndicho lijuakali alikuwa analamikia msihamishe magoli
Pumbavu yule kazoea kuvua kabambale huku akivuta mibangi.Kum
KumbE nikubadilishiwa matumizi tu,Mimi nilidhani anasema zimeliwa!!.
CCM tukiamua kuongea ukweli tunaweza.Nimwwasikiliza wabunge wote wa Chadema waliohojiwa na vyombo vya habari baada ya kutoka kwenye mahojiano na maofisa wa Takukuru.
Kwanza nilimsikiliza Lijualikali aliyedai wabunge wa Chadema wamepanga njama za kuidanganya Takukuru.
Nikakaa mkao wa kuwasikiliza wabunge wengine ili nibaini hizo njama.
Nilichogundua baada ya kuwasikiliza ni kweli wabunge wamekiri kukatwa fedha zao kwa ajili ya ujenzi wa chama na hiyo ni kwa mujibu wa katiba ya Chadema
Pili, makato hayo hukatwa na ofisi ya bunge chini ya Baraka za mh Spika na kuwasilishwa kwa Katibu mkuu wa Chadema.
Tatu, matumizi ya chama husimamiwa na Katibu mkuu na fedha za chama hutunzwa na mhasibu mkuu wakati matumizi ya chama huamuliwa na kupitishwa na kamati kuu ya chama.
Suzan Lyimo kwa mfano alishangaa wao kuulizwa maswali yaliyopaswa kuelekezwa kwa mhasibu kwani wao kama wabunge katiba inawataka kuchangia ujenzi wa chama siyo kupanga matumizi.
Suzan Kiwanga amedai makato yao hubsrikiwa na mh Spika.
Naye mbunge Pareso anasema kanuni ya makato huelezwa kuanzia day one unapojaza fomu ya maombi ya ubunge hivyo ni uamuzi wako kama hutaki usigombee.
Katika mazingira haya ni wazi makato ya wabunge wa Chadema yako kikatiba na matumizi yake huidhinishwa na kamati kuu ya chama.
Labda ndio maana CAG aliwapa hati inayoridhisha
Nimalizie kwa kusema fedha yoyote ya taasisi huweza kubadilishiwa matumizi na hiyo siyo dhambi ndio maana hata fedha za bajeti zikifika serikalini zinaweza kubafilishiwa matumizi kwa nia njema tu ya kuleta maendeleo kwa haraka.
Nawatakia Dominica yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!
Hata vyama Vya siasa anakagua mkuu.Cag anakagua pesa za serikali
Kwa hiyo Mbowe alikuwa sahihi kubadili matumizi ya michango ya wabunge? Au unamaanisha zile hela ni za Mbowe hivyo badala ya kununua gari (kutumia kwenye chaguzi) yeye akaamua kujenga nyumba (kuhonga na kulewa)?Kula hela na kubadilisha matumizi ni tofauti,Kwa mfano MTU ana tsh million 20 amepanga kununua gari baadae akbadili mawazo nakuamua kujenga nyumba.Hugo utsema amekula hela au amebadili matumizi?!
Hawa ni wahujumu uchumi,wanatoa tuhuma,zikifuatiliwa zinakosa mashiko lakini utasikia bado zikitumika kupiga propaganda. Walikuwa wanatuondoa kwa reli kuhusu kununuliwa kina Lijualikali,Silinde,Komu na Selasini kwa kujiingiza kwenye siasa za Corona.Pia kina hotuba ya Mh.Lissu na Bajeti hewa iliyosomwa hapo majuzi ambapo kwa miaka 5 Jamaa wameshindwa kufikia ufanisi wa bajeti kwa zaidi ya 40%juakali atakaa juani kwelix2 sidhani hata wanaomtumia watamthamini tena , ktk maisha kuna do na don't. Huwezi kuwa kiongizi faala hivyo.
Mabadiliko ya fedha ndicho lijuakali alikuwa analamikia msihamishe magoli
Namaanisha zinazotoka serikalini kwenda kwenye vyama vya siasaHata vyama Vya siasa anakagua mkuu.
Sio rushwa dada,ni matumizi mabaya ya fedha. Au penye jinai.Tumia kichwa kujadili kilaza wa bavicha wewe TAKUKURU wanafanya uchunguzi mahali popote ambapo kuna malalamiko ya kuwapo kwa rushwa ktk taasisi yoyote hata kama ni binafsi na hapa chadema wamelalamika wenyewe ulitakaje
Huyo mnafiki hayo yote aliyajua na bado akaunga mkono uongo wa lijuakali bali kilichomkemgeusha ni mbio za ubunge , huyo ni team AsengaAibu kubwa kwa maninja wa CCM*ccm
Lijuakali juzi usiku alikesha kumsubiria mbowe usiku apate kumpiga kwa kushirikiana na Msukuma na mtu mwingine mmoja, walivaa mask wakamshambulia mbowe kwa uoga haraka haraka wakatokomea, mbowe akipona anaenda kusoma Albadiri kubwa wote walioshiriki kumfanyizia unyama watapata majawabu mubasharajuakali atakaa juani kwelix2 sidhani hata wanaomtumia watamthamini tena , ktk maisha kuna do na don't. Huwezi kuwa kiongizi faala hivyo.
Takukuru wakachunguze zilipo bilion 12 alizokwapua NdungaiNasikitika kuwa wengi humu wanaamini kuwa pccb wanafanya uchunguzi wakati kiuhalisia wanafanya siasa. Hamna kitu pale.