Fadhilim
JF-Expert Member
- Feb 3, 2013
- 359
- 299
Hili tatizo pia kwa chombo chetu cha kuzuia na kupambana na rushwa kufanya kazi kwa shinikizo, mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali katoa hati safi kwa CHADEMA kuwa hakuna utumizi wowote mbaya wa fedha, halafu unasikiliza tu kauli kutoka kwa mchumia tumbo Lijualikali anayeomba huruma CCM na unaanza uchunguzi pasina kujiridhisha katiba ya chama inasemaje kuhusu michango ya fedha kwa wabunge ndipo uchunguzi uanze. Fundisho kwa taasisi zingine zisifanye kazi kwa amri fulani