Jamiiforum Forum ya enzi zile si ya leo! Tahadhari unaweza kukutana na watoto kama si wajukuu mnachangia au mnatoa hoja MMU. so ni kuchungulia kufurahisha macho kama si ubongo na unakuwa umeongeza siku za kuishi kama sio miaka. JF ni free stress zone ndio maana 'tulibaha'
.......ndio maana'ke Pakawa the legend! ...miaka tisa hewani si mchezo, watoto wamezaliwa, wamepelekwa shule ya vidudu....
.....sasa wapo umri wa darasa la tatu, weshajua kusoma na kuandika. Juma na Roza weshawaacha, wanaelekea kwenye sayansi kimu na jiografia,.......
Kubalini matokeo 😉
Cc; Dark City, KING"asti, Steve Dii na mydada AshaDii
Ha ha ha .....kumbe watu mpo!:becky::becky:Well said.
Nami pia nimefurahi sn kuwaona baadhi ya marafiki wa siku nyingi humu ndani...namshukuru mleta mada Mbu kwa bandiko hili. Nadhani tufanye msako kama wote bado tupo hai. Sijajua ile hali ya anonimity inaendeleaje siku hizi huku JF. Lakini Kufikia leo hii kwa kiasi kikubwa mambo si kama zamani nadhani ni kutokana na teknolojia mpya zaidi kama za wazzap nk.
Yote katika yote, JF itabaki kuwa jukwaa la watu makini daima dumu.!
Ha ha ha .....kumbe watu mpo!:becky::becky:
hongera zao. hope washaanza kuota mvi sasa.Nimewakumbuka tu huko mliko jamaa zangu wa miaka ile, Uwanja wa MMU umekuwa mpana sana, siku nazo zimekwenda alhamdulillah. Anyway ni salaam tu kwenu nyote; MwanajamiiOne, Dark City, nyumba kubwa, Nyamayao, The Boss, The Finest, bht, Gaga, Kaunga, Asprin, Maty, King'asti, na wengineo weeeeengi tangia miaka ile ya 2007.
Peace and love, maisha yanaendelea
U are loved Mtambuzi, kuja pm naomba number yako, nina shida nawe kakangu!
U are loved Mtambuzi, kuja pm naomba number yako, nina shida nawe kakangu!
hongera zao. hope washaanza kuota mvi sasa.
wapi mzee Vin Diesel...rafiki yake na Asprin!
wapi mzee Vin Diesel...rafiki yake na Asprin!
bosi wangu we wangu upo moyoni wangu no worries!Yangu hutaki??Mtoto mbaya wewe!
bosi wangu we wangu upo moyoni wangu no worries!
Mkuu leo nina bia yako sema tukutane mahali!