Nimewakumbuka, MMU Legends

Mbu tulikukosa sana hapa

jaman vipi lkn ulifanikiwa kwenye ile ishu yako ya kisima?

.....hahha, asante sana.
Yeah, jamaa wa Ubungo maji wamenifanyia hiyo kazi, nashkuru sana!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:


Hapo ndipo unaponikosha. Humumunyi maneno, kama ni kisu unakiita kisu...kama ni panga unaliita panga!
 
Hivi member mkongwe kuliko wote humu ni Nani?
 
.... Mbu.....
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu
Hapo ndipo unaponikosha. Humumunyi maneno, kama ni kisu unakiita kisu...kama ni panga unaliita panga!

haaaaah nimechek wamumunyao maneno yap kwa mfano
 
Wengine wameolewa wako bize na majukumu ya kuangalia waume na watoto
 
Reactions: Mbu

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…