Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Mtu asikudanganye wewe eti ukweli utakuweka huru, wanaume wana inferiority complex, ukimwambia tu atakuwa anajidharau kuwa hakuridhishi, maana katika hao mamia umekutana nao kuna mitulinga tofauti ya haja, we vunga.
 
Kutokana na uzoefu nliyouona mahali pawili tofauti napata ujasiri wakukuambia MUAMBIE ukweli huyo jamaa ako,siku akija kujua(na lazima atajua) itakugharimu zaidi ya sasa kama utamuambia,muambie ukweli wote nini kilitokea yeye ndio aamue kunyoa au kusuka na utakuwa na amani ya milele wewe na yeye..anayekuambia usimuambie hakika anakupoteza,hakuna siri ya watu itayokaa milele katika kifua cha mwanamke milele(namaanisha hao mliokuwa mnajiuza nao)..
 
Pole sana dada,

Amua kuokoka, biblia inasema, ukiokoka unakuwa kiumbe kipya, ya kale yanapita. huyo mchumba usimwambie, muombe Mungu hekima kama ungependa ajue bila ya kuharibu uhusiano wenu. Mungu atakupa hekima, hasa kama umebadilika kwa dhati.

Yesu atakuweka huru na hilo doa maishani. nashauri umuombe Mungu, tafuta washirika wengine au mchungaji unayemwamini, omba naye Mungu atakusaidia.
 
yaani anatia huruma huyu dada
awe na amani tu tena wala asingehama kanisa angeendelea kua pale pale tena ht km ingetokea rumors angefanya hajali

mbona watu wanapitia magumu mengi tuu
jaman aibu yote ntauweka wapi uso wangu tena kiongozi kanisan? bora kosa lingine ila sii hili la kujiuza
 
Usijaribu hata siku moja kusema, na waepuke marafiki wowote ambao ama wana mahusiano na wale mliokuwa sex workers au sex workers mliokuwa pamoja kabla.
 
angekuwa mume wako sijui ungeanzia wapi kumueleza akakuelewa kama ni boyfurendi tu Mwambie Mwenyewe kwasababu akijua mwenyewe itakuwa balaa kama anakupenda trust me mtaendelea na uhusiano even though weka possibility kubwa ya kuachwa

zakuambiwa changanya na zako..!!!
 
Hajui watu wanaolewa na wana watoto wa4 na bado mume anafichwaa hhhhhhhaaaa,hajui ndoa za mahesabu siku hizi

huyu hataki ndoa huyu serious
angetaka angepiga kimya ht akijua
ntamuuliza huyo mume wangu"ulinikuta wapi?"ndo destiny yangu hapo
 
Achana nao maana hao ndio wanaofanya uishi kwa hofu mpaka watu wanakushangaa unahama mpaka mahali pa kuabudia.!! halafu hao makahaba mpaka kanisani ni wameokoka au ndio busines as usual... they don't deserve ur attension you are no longer a prostitute
skutaka much details kutoka kwao ila si wasomi wanajishikiza kiujanjaujanja kwenye vikampuni so at time X they can be back kibiashara as ussual...pia wakiona najitenga watakuwa na nongwa juu yangu dats why nlihama kanisa
 
Dhuuuu!!!!! Pole sana kwa uliyoptiaa ucje ukamwambia bt ukimwambia utajiharbia mengi sana cr yako kaa nayo mwnyw uspende kukumbusha ya nyuma hasa mabaya yatakugarimu uspotarajia km yangetokea ukawa n msala kwako
 
kama unampenda basi usimuumize na historia yako ya maisha.... ingekuwa vyema kama ungefanikiwa kumuuleza mwanzoni kabisa yeye achagu e anakuwa na mtu wa namna gani.. we mambo yameiva unajifanya kusema bibi wewe utajitafutia safar..... usitengeneze fimbo ya kukuchapia hawa viumbe waone tu wanakojoa wamesimama ni hatari sana ... matatizo yako watayageuza yawe rungu ila kama unajua ana mdomo wa kukusitir mweleze kheeeee nani atakubali kuoa changudoa atajuaaje umeacha? akiona dalili za kuchitiwa bibi utaambiwa umeanza uchangudoa tena... my word usimweleze
mnazidi kunipasua kichwa
mbona nlishaamua kutokumweleza ila hawa WAKENYA nawajua vizuri tabia zao siku wakijua tu kuwa nina mchumba na tena anasali kanisa wanalosali sjui itakuwaje......dear usimpe dhamana changudoa atakufunga nawajua vizuri
 
Duh!! Kumbe miaka yote hii hukuniambia ukweli, afadhali leo nimejua kupitia humu.
 
nahisi atashindwa kuwa na hamu ya kulala na mie ...yaani ajue miwanaume kibao nilitembea nayo....hapana ataniacha

Si lazima iwe hivyo. Hiyo ni historia ya siku za nyuma. Akiambiwa lazima kwanza astuke lakini nina imani baada ya muda na hasa kama atapata watu wenye upeo kumshauri, atakusamehe.

Vingenevyo siku zote utaishi na wasiwasi. Je akipata taarifa hizo kwa watu wengine itakuwa vipi? Bila shaka mbaya zaidi na hapo hakutakuwa na msamaha.
 
Usithubutu kumwambia duniani na akhera kama akisikia pia kataa ukikubari huo msalaba wake kama amekwisha kuoa utakuelemea na kukutesa mpk unaingia kaburini atakunyanyasa sana huyo mwanaume. Kaa kimya tubu kwa Mungu na si kwa mwanadamu yeye kama amekukuta umeshabadika aendelee nawe kama ulivyo forget about the past.
 
Tumia ujuzi ulioupata wakati wa uchangudoa wako kulinda penzi/uchumba wako. Mengine yaachie wakati! Utajua mbele ya safari lakini sasa kufa na siri yako!

sio kwamba naahirisha mazishi wakati msiba ulishatokea....i mean kama kuzika ntazika tu iwe leo au miaka kumi ijayo
 
Why not? kwani huyo jamaa yeye msafi kiasi gani? Kama alishalala na mwanamke zaidi ya mmoja na huyo mmoja sio wewe hamna tofauti hapo... but ndio maana nimesema bury the past and move on, ila kama unataka kua honest just tell him kama anakupenda kwa dhati hatakua shida kwake, kama penzi maghumashi atakuacha but that should not dissapoint you!

mmh!
kila tukizozana si atakuwa anasema namletea kelele za kichangudoa kama ntamwambia na akavumilia......sidhan kama atavumilia maana tukiwa kwenye gari usiku akiwaona machangudoa hufoka mwenyewe kwenye usukani
 
asante sana
niliapa kuiweka siri milele ila tatizo naogopa kuna wadada wa KIKENYA wamehamiaga ARUSHA na nliwahi kujiuza nao NAIROBI wanaweza mbeleni kuja vujisha siri

Hata wakivujisha haina mashiko kila mtu duniani ana past experience ya life. Wewe unajitia uoga usio na sababu ndo mana watu wengi wanaoanaga na kutokuuliza past experience. Kamwe usifikiri kumwambia itakufanya akuone mwema na muwazi itakuharibia. As long as ulitubu hyo tabia move on hakuna aliye msafi. Kuna watu yamewakuta makubwa walipo confess walifikiri wanajenga kumbe ndo waliharibu kabisa. Nijuavyo mwanaume ukishamwambia ulikua changu atafikiri huko kote ulitumika kuanzia tigo, je ulitoa mimba ngapi? Au kutumia madawa ya kuzuia mimba. Na hapo lazima atafikiria Mara mbili na kukutema maxima. Ndo mana hata bible inasema tazama ya kale yamepita na yamekua mapya. Sasa wewe kinachokuhangaisha nini?
 
Back
Top Bottom