- Thread starter
- #41
Asante kwa ushauri sitokaa nifanye kosa la kwenda ustawi was jamii sina shida ya hela Nina kipato cha kunitosha kumlea mwanangu nilichohitaji kwake ni care tuu na kuwa responsible father kwa kuwa hayuko tayari basi asimsogelee mtoto hata atakapozaliwaVumilia na mwombe Mungu atakusaidia! mshitaki ustawi wa jamii watu tunatafuta watoto yy anapotezea! mkitoa mimba Zao wanalalama! vumilia unaweza kutuletea la Magufuli au Kasamiah! gud wish u! pray everything God can judgment! hata kazi zake zitaharibika kwa machozi udondoshayo!