Nimewachukia sana wanaume mnisamehe

Mbele kwa Mbelee Tumechukua Tunaweka Waaaaaa kwanza huyu mdada anatafuta Kiki tu.hapa anataka aone responze ikoje Story yenyewe Katunga
Nitunge story ili iweje!!!! Ok nashukuru wako wanaonishauri vzr na nafarijika ukiona nimelike comment yako jua nimeuoenda ushauri wako na umenifariji pia nsufanyia kazi. Na ww tunga yakwako uweke hapa tukushauri ili utafute kick!!!! Nipisheee so lazima kukoment
 
Nitunge story ili iweje!!!! Ok nashukuru wako wanaonishauri vzr na nafarijika ukiona nimelike comment yako jua nimeuoenda ushauri wako na umenifariji pia nsufanyia kazi. Na ww tunga yakwako uweke hapa tukushauri ili utafute kick!!!! Nipisheee so lazima kukoment
haha safi eeh ufanyie kaz
 
Wanaume nimewagopa sana sina hamu na nyie. Nilikuwa na mchumba, nikapata mimba akawa amefurahi sana. Basi tukakubaliana tukaweka mikakati yetu.

Tulikuwa tunaishi mkoa moja mimi nikapata kazi mkoa mwingine ikabidi tuwe mbali ila tukawa tunaonana mara chache hadi nilipata hii mimba. Tuliwasiliana kwa simu hadi mimba ikiwa na wiki 6 mwenzangu akakata mawasiliano hadi leo ina miezi nane.

Nimehangaika kuwasiliana na watu wake wa karibu wananiambia hata wakiongea nae hakuna anachowaambia akiwemo hadi boss wake maana aliyajua mahusiano yetu vizuri tuu akaniambia labda anaogopa majukumu.

Nimshukuru tuu Mungu kwani tangu nipate mimba hii sijawahi ugua hata mafua naendelea vizuri na maisha yangu, nalea peke yangu.

Ila napata shida moja ya kisaikolojia, nimewachukia wanaume natamani nizae mtoto wa kike. Nilienda kucheck utrasound kwa lengo la kuangalia jinsia ikabidi nighairi though nikuwa nimeshalipia maana nawaza nikiambiwa ni wa kiume nitakuwa dissapointed.

Nimeamua tuu hata nikizaa mtoto nimpe jina la ukoo wetu maana baba yake haangaiki na chochote kwanza ndio kaniblock sehemu zote za mawasiliano. Kama yupo mwanasaikolojia naomba anishauri tuu maana nimechukia mnoooo!!!!!
Nipm tulee pamoja
 
Pole mamy, kosa lako kubwa ni kumwamini na kubeba mimba bila ndoa takatifu, hawa viumbe wana sura nyingi sana jamani sio wa kuwaamini sana. We usijali hajakuachia kilema ni mtoto na ni baraka na faraja yako. Lea mwanao mama kijacho acha mawazo sio mazuri kwako kipindi hiki ukiwa na kiumbe ndani yako.
 
Back
Top Bottom