Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,326
- 7,522
Basi ulijipendekeza kwa mtu asiye kupenda ndio ameamua kukufanyia ubaya.Ww unaota
Basi ulijipendekeza kwa mtu asiye kupenda ndio ameamua kukufanyia ubaya.Ww unaota
Kulea si tatizo thou ningeshindwa ningekuwa nimemtoa zamani but still ninae pole kwa mawazo finyuIvi dada mwenye zaidi ya miaka kumi na nane anapewaje mimba ambayo hamjapanga huku ukiwa na elimu kabisa ya kujua mimba inaingiaje shida ni moja si kila unamwambia njoo malizaa babaa kaamua kuwa baba wengine wanataka starehee ni jambo la kukaa na kupanga pamoja
Ungechukia wanaume na ukaacha kuvua chup ovyo leo ungetuletea somo la ujasiriamali hapa tuelimike by the way jichukie ww kwa kutosikia neno la Mungu kutokutii wazazi kutosikia waalimu pamoja na serekali sbb hata Mweshimiwa alishasema mimba ni kiherehere chenu mabinti
Acha kumlaumu mtu ambaye hukuingia nae mkataba wa kupata watoto mkataba huo ni ndoa na cheti hutolewa angelelewa hata na familia zote mbili sbb wangekuwa ni mashaidi ndefu lkn soma
JICHUKIE WW KWA KIHEREHERE CHAKO
Too hellbinafsi nilicho kiona kwa mtoa mada,n kwamba ni mtu mwenye maneno meng na wanaume hawapendezwi kuwa na watu hao.so vumilia,jifungue na bila shaka mtoto atakuwa wakiume..ila jamaa atakuja kufuata copy yake.....
Kakurupuka tu huyu simfaham anajifurahishaHii nini hii mkuu? Mnafahamiana?
Siwatetei wanaume bt napata shida kuamin kama mliishi vizuri ghafla jamaa akakata connection, either kuna nyuma ya pazia au ww au yeye mna matatzo....Wanaume nimewagopa sana sina hamu na nyie. Nilikuwa na mchumba nikapata mimba akawa amefurahi sana basi tukakubaliana tukwaweka mikakati yetu. Tulikuwa tunaishi mkoa moja mm nikapata kazi mkoa mwingine ikabidi tuwe mbali ila tukawa tunaonana mara chache hadi nilipata hii mimba. Tuliwasiliana kwa cm hadi mimba ikiwa na wiki 6 mwenzangu akakata mawasiliano hadi leo ina miezi nane. Nimehangaika kuwasilianà na watu waje wa karibu wananiambia hata wakiongea nae hakuna anachiwaambia akiwemo hadi boss wake maana aliyajua mahusiano yetu vzr tuu akaniambia labda anaogopa majukumu. Nimshukuru tuu Mungu kwani tangu mimba hii sijawahi ugua hata mafua naendelea vrz ba maisha yangu nalea peke yangu. Ila napata shida moja ya kisaikolojia nimewachukia wanaume natamani nizae mtoto wa kike nineenda kucheck utrasound kwa lengo la kuangalia jinsia ikabidi nighairi thou nikuwa nimeshalipia maana nawaza nikiambiwa ni wa kiume nitakuwa dissapointed. Nimehamua tuu hata nikizaa mtoto nimpe jina la ukoo wetu maana baba yake haangaiki na chochote kwanza ndio kaniblock sehemu zote za mawasiliano. Kama yupo mwanasaikolojia naomba anishauri tuu maana niko desparate nimechukia mnoooo!!!!!
Hahaaaaa unaweza kunipa ushauri gani labda!!!!! Nguvu za gizaaa.
Wanaume nimewagopa sana sina hamu na nyie. Nilikuwa na mchumba nikapata mimba akawa amefurahi sana basi tukakubaliana tukwaweka mikakati yetu. Tulikuwa tunaishi mkoa moja mm nikapata kazi mkoa mwingine ikabidi tuwe mbali ila tukawa tunaonana mara chache hadi nilipata hii mimba. Tuliwasiliana kwa cm hadi mimba ikiwa na wiki 6 mwenzangu akakata mawasiliano hadi leo ina miezi nane. Nimehangaika kuwasilianà na watu waje wa karibu wananiambia hata wakiongea nae hakuna anachiwaambia akiwemo hadi boss wake maana aliyajua mahusiano yetu vzr tuu akaniambia labda anaogopa majukumu. Nimshukuru tuu Mungu kwani tangu mimba hii sijawahi ugua hata mafua naendelea vrz ba maisha yangu nalea peke yangu. Ila napata shida moja ya kisaikolojia nimewachukia wanaume natamani nizae mtoto wa kike nineenda kucheck utrasound kwa lengo la kuangalia jinsia ikabidi nighairi thou nikuwa nimeshalipia maana nawaza nikiambiwa ni wa kiume nitakuwa dissapointed. Nimehamua tuu hata nikizaa mtoto nimpe jina la ukoo wetu maana baba yake haangaiki na chochote kwanza ndio kaniblock sehemu zote za mawasiliano. Kama yupo mwanasaikolojia naomba anishauri tuu maana niko desparate nimechukia mnoooo!!!!!
Haya. Ila pole sana momy,wanaume wote hatuko kama huyo na kuna uwezekano huyo wako ulimuudhi au kuna kitu alikuwa hakwambii na alikivumilia kwa muda mrefu mpaka alipoona hawezi tena na kubwaga manyanga. Mtu aliekwambia amefurahi umepata ujauzito,hawezi kukukimbia hivihivi tu,lazima kuna kitu.Kakurupuka tu huyu simfaham anajifurahisha