Nimevutiwa mno na Jiji la Mwanza

Nimevutiwa mno na Jiji la Mwanza

Habarini za muda huu nduguzangu wa Jamii Forum.
Niende moja kwa moja kwenye Mada kuelezea vile nimepata kujionea utofauti wa jiji la Mwanza tangu siku yangu ya kwanza tu kufika.
Safari ilikuwa ngumu mpaka nikajiuliza nina mkosi maana gari liliharibika mara tatu, hatimaye majira ya saa nane za usiku ndio nikafika Mwanza, Jiji nililokuwa nalisikia tu na kupata sifa nyingi ila sijawahi kufika.
Siku yangu ya kwanza niliona mambo mengi tafauti na Dar es salaam au jiji la Daudi. Watu wa Mwanza ni wakarimu mno ani ukimuuliza anaweza kukujibu vizuri, Makonda na Madereva daladala wako vizuri nilipanda daladala nakaribia kufika kituoni nikasimama akaniambia kaa mpaka gari lisimame ani nilishazoea Dar gari hata halijasimama vizuri utasikia konda anamwambia dereva twende.
Mwanza kuna mandhari nzuri na hali ya hewa safi. Navutiwa zaidi na mawe hasa yaliyo karibu na nyumba, unakuta nyumba imejengwa nyuma kuna bonge la jiwe..

Enewei nina wiki tu jijini Mwanza anayejua maeneo mazuri ya kuvutia maana napenda sana kutalii. Ahsanteni


KichWa bOX
Mkuu huko ndo panakufaa we tuachie Dar yetu saizi tunataka kujenga flyover Mbezi kuongeza mishemishe
 
Aisee una Bahati mkuu Villa pub imefunguliwa kilumba pale unapata burudani ya live band na samaki sato mkubwa ana kichwa Cha mtoto.

Ukimaliza request bolt nenda club elevate Malaika pale hutojuta kula hela yako .

Ukiagiza Hennessy inasindikwa na wadada watano wakalii ukimaliza unaondoka nao utajua utawapeleka wapi.

Cask iliungua ila bado Ni ya Moto pale Kuna kila binadam Ni mfuko wako.
Pale Diamond na pisi yangu kali nimekuta WAMEIPURA
 
Soksi haiepukiki kaka, siku hz wenye ukimwi ndio walionona ,ukitaka ufaidi na uenjoy lipime kwanza
Ukilipima leo, usubiri mpaka miezi mitatu ipite, ilipime tena, kama litakuwa salama, ndipo uanze ku-do nalo........tehe tehe the teh.......
 
Habarini za muda huu nduguzangu wa Jamii Forum.
Niende moja kwa moja kwenye Mada kuelezea vile nimepata kujionea utofauti wa jiji la Mwanza tangu siku yangu ya kwanza tu kufika.
Safari ilikuwa ngumu mpaka nikajiuliza nina mkosi maana gari liliharibika mara tatu, hatimaye majira ya saa nane za usiku ndio nikafika Mwanza, Jiji nililokuwa nalisikia tu na kupata sifa nyingi ila sijawahi kufika.
Siku yangu ya kwanza niliona mambo mengi tafauti na Dar es salaam au jiji la Daudi. Watu wa Mwanza ni wakarimu mno ani ukimuuliza anaweza kukujibu vizuri, Makonda na Madereva daladala wako vizuri nilipanda daladala nakaribia kufika kituoni nikasimama akaniambia kaa mpaka gari lisimame ani nilishazoea Dar gari hata halijasimama vizuri utasikia konda anamwambia dereva twende.
Mwanza kuna mandhari nzuri na hali ya hewa safi. Navutiwa zaidi na mawe hasa yaliyo karibu na nyumba, unakuta nyumba imejengwa nyuma kuna bonge la jiwe..

Enewei nina wiki tu jijini Mwanza anayejua maeneo mazuri ya kuvutia maana napenda sana kutalii. Ahsanteni


KichWa bOX
Nenda bonasera pub,pita tilapia hotel na malaika hotel,pia usisahau kwenda tunza beach,na diamond pub na villa park,tembelea igogo,nenda bugando hospital na chuo cha saut nyegezi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Habarini za muda huu nduguzangu wa Jamii Forum.
Niende moja kwa moja kwenye Mada kuelezea vile nimepata kujionea utofauti wa jiji la Mwanza tangu siku yangu ya kwanza tu kufika.
Safari ilikuwa ngumu mpaka nikajiuliza nina mkosi maana gari liliharibika mara tatu, hatimaye majira ya saa nane za usiku ndio nikafika Mwanza, Jiji nililokuwa nalisikia tu na kupata sifa nyingi ila sijawahi kufika.
Siku yangu ya kwanza niliona mambo mengi tafauti na Dar es salaam au jiji la Daudi. Watu wa Mwanza ni wakarimu mno ani ukimuuliza anaweza kukujibu vizuri, Makonda na Madereva daladala wako vizuri nilipanda daladala nakaribia kufika kituoni nikasimama akaniambia kaa mpaka gari lisimame ani nilishazoea Dar gari hata halijasimama vizuri utasikia konda anamwambia dereva twende.
Mwanza kuna mandhari nzuri na hali ya hewa safi. Navutiwa zaidi na mawe hasa yaliyo karibu na nyumba, unakuta nyumba imejengwa nyuma kuna bonge la jiwe..

Enewei nina wiki tu jijini Mwanza anayejua maeneo mazuri ya kuvutia maana napenda sana kutalii. Ahsanteni


KichWa bOX
Karibu sana jiji letu la Mwanza..
 
Ulijiuliza waliojenga nyumba juu ya mawe wanajisaidia wapi?maana huwezi kuchimba choo juu ya mawe
Kuna njia za maji machafu chief! Vyoo vingi maeneo hayo ya mawe ni vya kuflash then mzigo unaingia kwenye system ya maji taka kuna mabomba yametandazwa...

Vyoo vya shimo ni vichache sana mazingira hayo ya mawe.
 
1.Idara ya maji-Hesawa-Capripoint.

2.Jiwe kuu-Kitangiri-Bwiru (Hapo Jiwe kuu utaziona alama zimetokeza juu ja mawe za mikono,vidole vya mfalme wa kale wa Kisukuma "Ng'wana Malundi".

3.Darajani-Furahisha-Kirumba.

4.Darajani-Mabatini.

5.Bismarck Rock-Kamanga-Nyamagana "utaona nondo zimechomekwa na kuzama ndani ya jiwe".

6.Nyumba juu ya nyumba, Jiwe mbele ya nyumba, nyuma ya nyumba na juu ya nyumba. -SAHARA-Pamba-Mwanza.

7.Bugando Jeshini, Bugando Hospital, Bugando Mission, Bugando Nkali na Bugando Kati [Kata ya Igogo].

8.Isamilo lodge, Mjimwema, Nyashana, na Mbugani.

9.Mwaloni-Magomeni, Kigoto, Ibanda, Bujumbura-Kirumba.

NOTE: KAMA HAUTAFIKA "SAHARA" HAUTAKUWA UMEIFIKIA MWANZA VIZURI, ."SAHARA" INA REKODI ZAKE NA MATUKIO YAKE.
 
Habarini za muda huu nduguzangu wa Jamii Forum.
Niende moja kwa moja kwenye Mada kuelezea vile nimepata kujionea utofauti wa jiji la Mwanza tangu siku yangu ya kwanza tu kufika.
Safari ilikuwa ngumu mpaka nikajiuliza nina mkosi maana gari liliharibika mara tatu, hatimaye majira ya saa nane za usiku ndio nikafika Mwanza, Jiji nililokuwa nalisikia tu na kupata sifa nyingi ila sijawahi kufika.
Siku yangu ya kwanza niliona mambo mengi tafauti na Dar es salaam au jiji la Daudi. Watu wa Mwanza ni wakarimu mno ani ukimuuliza anaweza kukujibu vizuri, Makonda na Madereva daladala wako vizuri nilipanda daladala nakaribia kufika kituoni nikasimama akaniambia kaa mpaka gari lisimame ani nilishazoea Dar gari hata halijasimama vizuri utasikia konda anamwambia dereva twende.
Mwanza kuna mandhari nzuri na hali ya hewa safi. Navutiwa zaidi na mawe hasa yaliyo karibu na nyumba, unakuta nyumba imejengwa nyuma kuna bonge la jiwe..

Enewei nina wiki tu jijini Mwanza anayejua maeneo mazuri ya kuvutia maana napenda sana kutalii. Ahsanteni


KichWa bOX
Chimbo katikati ya mji panaitwa Royal Pub. Imezungukwa na guest/lodge/hoteli za shinyanga,kahungwa,chrismas tree,clevaland,rehema ya Mungu,mtera nk. Hata wa buku 4, unasuza rungu unasepa. Hakuna mbunye classic zote sawa tu.

Karibu upepewe kijana, lakini utakayempata jua nilishapita[emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom