Nimevurugwa na nilichokiona, naombeni msaada wenu

Nimevurugwa na nilichokiona, naombeni msaada wenu

Uchumi wa kati huu,

Kila kitu kimekuwa cha kati! mpaka misukule imekuwa na uchumi wa kati kiasi kwamba inagawa 'fweza' a.k.a mtonyo nje nje. Bujibuji mimi nisaidie mawasiliano ya msukule anisaidie japo hela ya supu na chapati. Ila wewe na rafiki yako msukule ni noma, yaani mmekaa zenu room mnacheki katuni tu.
 
Kwanza una bahati kutoliwa Tigo, unaingiaje vyumbani kwa strangers na kukubali kuhongwa.
Bwana ehh kweli aisee, ile nyumba ni balaa, milango ya fingerprint
kwanini usimalizie na ITAENDELEA JUMAMPILI.
Siendi aiseee, nisije chunwa ngozi. Jamaa anasisitiza RAFIKI YAKO ANAKUPENDA SANA, YAANI ANAKUPENDA KWELIKWELI
 
Bujibuji,

Uandikayo yanaweza kuwa kweli asilimia mia moja usione watu wanaishi maisha mazuri mjini wana mambo ya ulimwengu mwingine asikuambie mtu yaani usimuliwe na mtu yasikukute ila nakushauri kama wewe ni Mkristo hizo hela zitakase kwa damu ya Yesu uachane na hayo maagano huwezi jua huko mbeleni atajakukufanyia nini sali sana shetani asipate nafasi
 
Back
Top Bottom