Nimevurugwa na nilichokiona, naombeni msaada wenu

Nimevurugwa na nilichokiona, naombeni msaada wenu

Mkuu umepiga cha meru nni. Kama vp hizo pesa njoo huku kiembe mbuzi tuzichakaze. Uchawi hauendi kwa mentally
 
Uandikayo yanaweza kuwa kweli asilimia mia moja usione watu wanaishi maisha mazuri mjini wana mambo ya ulimwengu mwingine asikuambie mtu yaani usimuliwe na mtu yasikukute ila nakushauri kama wewe ni Mkristo hizo hela zitakase kwa damu ya Yesu uachane na hayo maagano huwezi jua huko mbeleni atajakukufanyia nini sali sana shetani asipate nafasi
Sasa niende wapi, kwa Mwamposa?
 
Kuna mlokole hapa kasema hizo pombe mlizokunywa hazikuwa pombe bali ni damu za watu [emoji16][emoji16][emoji16]
Inawezekana kabisa alifanyiwa kiini macho na saa zingine huyo mdada aliyesema alimfungulia mlango nae ni msukule hakuna mfanya maagano wa namna hiyo atakae kubali mtu baki yani mdada wa kazi au kijana ajue siri zake za ndani lazima atazitoa tu hao ndio wale watoto unasikia mtoto kapotea labda ama miaka miwili sijui mitano ndio wanaokuja kufanya shughuli hizi na wanakuwa weshapumbazwa kiakili ndio maana tunaambiwa Kesheni mkisali kwa vile mwovu yupo macho nyakati zote akituwinda
 
Bujibuji,

Yani kuogopa kote kumbe ulikuwa unaogopa kugongwa... 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁
 
Back
Top Bottom